Kumbukumbu za kitaifa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,935
Reaction score
831,421
Mwaka uliopita tarehe kama ya jana tr 1 June 2016 ndio ilikiwa siku rasmi ya kuzima simu bandia
Kwa siku hiyo ya kwanza zilizimwa simu baadhi na kupelekea vilio kwa wamiliki wake
Hata hivyo zoezi hilo lililoitwa endelevu lilitawaliwa na mkanganyiko mkubwa huku simu nyingi zilizozimwa zikifanyiwa maarifa kwa mafundi na kutumika tena
Tunapoadhimisha mwaka mmoja wa zoezi hili tujiulize je tulimakinika kiasi gani kwenye hili?
 
Kama kawaida yetu, tunakurupuka, na muda kidogo tunasahau na kurukia mambo mengine, halafu hatukumbuki kufanya tathmini ya mambo ya nyuma...
 
mwingine kahukumiwa juzi tu kujaribu kushindana na tcra
 
Dah, kitochi changu kilizimwa pia Mkuu mshana jr , umenikumbusha mbali sana, by the way 2016 from April ndio kilikua kipindi kibaya sana kwenye maisha yangu toka nizaliwe.
 
Tofautisha kuzima simu na kudhibiti IMEI batili mkuu mshana jr .. Uwezo wa kuzima simu nyingi kwa mkupuo TCRA hawana, bali nguvu za giza na mazingaumbwe ndo zinaweza fanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…