Kama kawaida yetu, tunakurupuka, na muda kidogo tunasahau na kurukia mambo mengine, halafu hatukumbuki kufanya tathmini ya mambo ya nyuma...Mwaka uliopita tarehe kama ya jana tr 1 June 2016 ndio ilikiwa siku rasmi ya kuzima simu bandia
Kwa siku hiyo ya kwanza zilizimwa simu baadhi na kupelekea vilio kwa wamiliki wake
Hata hivyo zoezi hilo lililoitwa endelevu lilitawaliwa na mkanganyiko mkubwa huku simu nyingi zilizozimwa zikifanyiwa maarifa kwa mafundi na kutumika tena
Tunapoadhimisha mwaka mmoja wa zoezi hili tujiulize je tulimakinika kiasi gani kwenye hili?
Duh! Pole sana...Nafanya biashara ya simunilirudishiwa simu kama tano ambazo kwa vigezo vya Tz zilikuwa bandia
oooooooooooops! pole sana ilikuwa hasara kwa kweli.Nafanya biashara ya simunilirudishiwa simu kama tano ambazo kwa vigezo vya Tz zilikuwa bandia
Mshana nakutafuta ujueNafanya biashara ya simunilirudishiwa simu kama tano ambazo kwa vigezo vya Tz zilikuwa bandia