Kumbukumbu za Irene

Kumbukumbu za Irene

Usinambie hapo huwelewi an upo upo tuu 😂😂😂
Mke wa mtu sumu Mdogo wangu...siku ukikutwa na huyo mke wa mtu huko Zanzibar ukiwa unakaribia kukata roho kwa kupigwa shaba utanikumbuka utasema dah kweli brother felakuti alinionya..
 
Mtazamo wako binafsi haufanyi kuwa ndio uhalisia wenyewe.

Unavyomuona na kumchukulia wewe matawi, kuna msela mavi keshambandua na anamuona kituko tu.
Simchukulii Wala kumuona kama matawi bali ni matawi.
 
Simchukulii Wala kumuona kama matawi bali ni matawi.
Mlupo tu huyo kwa wengine.

Ingekuwa ha bleed na kunya kama wengine ungesema ni matawi na wa tofauti. Ila kwa vile kila mwezi anabandika Always na anakata gogo linalonuka, mzee baba huyo ni kidampa tu kwa waliombato.

Wewe unazuzuka kwa vile hujampata. Tena ukute hata kipochi manyoya chake kinatoa😂😂😂
 
Mkuu usije ukawa unamzungumzia huyu aliyentesa namm kihisia! Anyway haya majina kuwanayo makin sana ni km yana ulimbo ulipenda hutoki ndugu yako nmeacha tu Kwa maslahi mapana ya maisha yajayo ila moyo unaungua🥹🥹🥹
 
Back
Top Bottom