Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Leo radio za VoA na DW walimzungumzia Mch. Martin Luther King Jr ambaye aliwaongoza Wamarekani weusi kupinga ubaguzi dhidi ya watu weusi huko Marekani miaka ya 1960. Harakati zake zilisababisha kifo chake kwa kupigwa risasi na wahafidhina. Je, watawala wetu na watetezi wanaowatetea kwa kila jambo wangesemaje juu ya harakati zake? Wangemuunga mkono au wangesema anachanganya dini na siasa?
Vv
Vv