Kuna dada mmoja hapa kitaa, mie ni mgeni ,huyu dada ni king'ang'anizi hadi kero, istoshe hana mshipa wa aibu ,juzi kati kaamua kusema live eti, nakupenda sana we mwanaume usie na huruma wala hupendeki, aaarrrrgghhhh!!, sipendagi mwanamke anayejirahisirahisi ,tetesi ni kwamba kaathirika na mpango mkakati wake ni kuutawanya ugonjwa kwa kadri awezavyo
mtoa mada. maneno ya mwisho umeonyesha kumsifu sana mpenzi wako.. utamuoa?Mtoa mada tunaomba jibu hapa plzz.....
Sio lazima,kama hawakuwa na michubuko hata wangedendeka siku nzima.romance gani? kama ulidendeka imeshakula kwako
Pole sananikiona mada zinazohuru UKIMWI huwa nakosa amani.najikuta nawaza jinsi nilivyoukwaa.
Sa hivi ni marafiki mara nyingi naenda dukani kwao kununua nguoKwahiyo uhusiano wenu uliendeleaje?
Bila shaka baada ya kujua ulitoka ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiii.Tarehe kama ya leo 2012 naikumbuka baada ya binti Roda mtoto toka Mbeya kuamua kuniweka wazi jambo hili wazi. Ilikuwa ni kama bahati kwangu baada ya kumtongoza kwa muda mrefu na kufanikiwa kumnyaka japo kwa kulazimisha sana na hata ilipofika time ya kumuomba mzigo bado aliendelea kunikatalia.
Kiukweli nilimlazimisha sana tukifanya nae romance kwa wingi lakini kila nikitaka kuingiza alikataa katakata, nilisumbuka naye sana zaidi ya mara 7 namvua nguo lakini wapi, namchezea analegea macho lakini nikijitahdi hata kutaka kumbaka aliendelea kunikataa nifanye naemapenzi , sikuwahi kuwaza matumizi ya condom kipindi hicho na hii ni mpaka leo.
Sikuwahi kumtukana wala kudharau maamuzi yake. Alinipenda kwa kweli nadhani mabinti wote wapo hivo wana huruma sana akikupenda hataki kukuona ukiteseka
Nimekumbuka siku aliyoniita na kunieleza ukweli kuwa yeye ni muathirika alimbukizwa na babu mmoja hukohuko kwao Mbeya na hakuhitaji kufanya makusud kunirushia ugonjwa,
niliishia kumshukuru.
Nafurahi kumwona mpaka sasa akiwa mwenye afya na anaendelea na maisha yake na biashara zake za kuuza nguo. Nampenda sana ni mwanamke mzuri kwangu
Na wakati mwingine viatu huvuka pia.Siku yako ilikuwa haijafika mkuu,ni kama vile kupata ajali ya gari wenzio wote wakafariki wewe ukapona bila ya hata jeraha.Acha zinaa kabisa that was a warning,tafuta mke uowe otherwise utakuja kunasa,huu ugonjwa kuukwepa kama ukiwa gonyagonya ni rahisi sana ,utajifanya unavaa viatu lakini iko siku moja utaingia mahali kavukavu na huo ndio utakuwa mwisho wako na majuto kibao.
Pole sana..hesabu nikama malaria,zaidi MPE Mungu maisha yako yaliyobakinikiona mada zinazohuru UKIMWI huwa nakosa amani.najikuta nawaza jinsi nilivyoukwaa.