Doswe Dossena
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 314
- 553
Leo katika Historia...
Siku ya tarehe kama ya leo mnamo mwaka 1965 Ni siku aliyeuawa mwanaharakati Mashuhuri duniani wa kupigania haki za watu weusi(akina sisi).. Malcolm X, kwa kupigwa risasi 15-17 kifuani....
Andika chochote unachojua kuhusu huyu jamaa..
Siku ya tarehe kama ya leo mnamo mwaka 1965 Ni siku aliyeuawa mwanaharakati Mashuhuri duniani wa kupigania haki za watu weusi(akina sisi).. Malcolm X, kwa kupigwa risasi 15-17 kifuani....
Andika chochote unachojua kuhusu huyu jamaa..