pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
.....I know you feel it!Taste the feelings
Ukistaajabu ya Musa?.....tulia uone ya James Bond wa hapa hapa Olooyangalani!aisee!
Mmh!I see!...
Hahahahaa...Mmh!
Hahaa Usivutiwe ukathubutu kuiga.Ni mambo ya Bugando Kenya vile eeee!!
Unamaanisha ni majames bond?Ni wakenya no wonder
Mwenzetu alipodandia chopper kama daladala.Bye!!! Kakake mdogo, James 'Akili Kubwa' Bond naye hakuachwa nyuma. Kesho yake asubuhi aliibuka na mtindo mpya.
Wanawake walivyo watu wa ajabu, kwa kufanya hivyo mademu kibao watajitokeza kutaka kumpa papuchi zao
Nilikuwa sijaona hii!
Kanichekesha lakini pia nimemuonea huruma na hivyo vidonda!
Kwamba watamuona hero!Wanawake walivyo watu wa ajabu, kwa kufanya hivyo mademu kibao watajitokeza kutaka kumpa papuchi zao
Vidonda vipi? Yupo sawa tu, hapo anahitaji tu maji ya Kunywa na vicks kisha adandie chopper nyingine ya kumfikisha home.
Nilikuwa sijaona hii!
Kanichekesha lakini pia nimemuonea huruma na hivyo vidonda!