Hakika Mungu amesikiliza kilio na machozi ya watanzania maana wengi tuliumia kwa maamuzi yake yakiongozwa na jeuri kuu.Kwa viwango alivyoiathiri nchi yetu nadhani hata alipo sasa hakustahili.Ila kwa kuwa awamu hii imeamua kumrekebisha badala ya kumwadhibu,yafaa ajifunze pamoja na wengine wenye tabia na mitazamo ya namna hiyo.
Alisahau kuwa hakuna binadamu anayeweza kuijua kesho yake.Kwa hakika Bashiru alijikweza mno, japo pengine tabia ya Bosi wake, mzee Keko, inaweza ikawa ilichangia. Sasa yeye ni viti maalum, kina Jafo na msajili wa vyama wanadunda. Ipo haja kujifunza kuwa na akiba ya maneno, kuwa na lugha za kistaarabu, na kuwa muungwana. Inasaidia sana pale unapodondoshwa puuuu!
Mkuu Imhotep nafunguka usiwe MBISHIHaifunguki usiwe libishi
Hakika muda unakwenda mbio sana na akija mgeni hapa Tanzania akakuta watanzania wanavyo ishi kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita atajiona kama kapotea njia.
View attachment 1795326
Mkuu uliwahi kuona wapi mfungwa anachagua gereza?View attachment 1795393
Hii kauli haikuishi hata miezi miwili akapewa ubunge akakubali
Sawa na kina Mzee MdeeTunakushukuru sana kwa kutukumbusha utopolo wa Bashiru Ally , sasa hivi ni mbunge wa viti maalum
Maisha yanaenda kasi mnoooHakika muda unakwenda mbio sana na akija mgeni hapa Tanzania akakuta watanzania wanavyo ishi kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita atajiona kama kapotea njia.
View attachment 1795326
Mangu aliwaharibu Sana.Kwa hakika Bashiru alijikweza mno, japo pengine tabia ya Bosi wake, mzee Keko, inaweza ikawa ilichangia. Sasa yeye ni viti maalum, kina Jafo na msajili wa vyama wanadunda. Ipo haja kujifunza kuwa na akiba ya maneno, kuwa na lugha za kistaarabu, na kuwa muungwana. Inasaidia sana pale unapodondoshwa puuuu!
Dr. Bashiru alikuwa mtendaji kwelikweli na kwa mamlaka haswa! Katibu wa sasa hivi, kama vile anawasomea watoto hadithi za Sungura na mbwa mwitu! Makubwa! - Those who want they don't get and those who get, they don't want. That is the world!Tunakushukuru sana kwa kutukumbusha utopolo wa Bashiru Ally , sasa hivi ni mbunge wa viti maalum
Unashangaa ya Bushiru? Ya Polepole je? Hebu kwanza jiulize...kama una akili timamu kweli unaweza kuitumikia CCM kweli! Ili iweje? Ndugu yangu Castr , hebu tazama video hii halafu ujiulize kama jitu lenye akili timamu linaweza kukata mauno hadharani hivi mbele ya wazee wenzake, wazazi wenzake, vijana wake, watoto wake, wajukuuu na watukuu wake...!Katibu wa CCM anamhakikishia Waziri na Jaji Mkuu kuwafukuza kazi.
Hii imekaaje?
Sawa na Nusrat HanjeTunakushukuru sana kwa kutukumbusha utopolo wa Bashiru Ally , sasa hivi ni mbunge wa viti maalum