Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Wakati huu ambapo nchi yetu iko katika mtanziko mkubwa Kiuongozi na Kimstakabali, si vibaya kurejea kauli za Wazee kama Msekwa...
Miaka miwili iliyopita, Mzee Msekwa alituusia kuwa Miaka mitano kwa Rais mbovu ni mingi mno na ni Mateso kwa nchi na raia, lkn ikibidi (au kama Umma haujitambui kama ilivyo TZ Bara) tunaweza kumvumilia kwa miaka mingine mitano - jumla 10, lkn si zaidi
Sikiliza:
Miaka miwili iliyopita, Mzee Msekwa alituusia kuwa Miaka mitano kwa Rais mbovu ni mingi mno na ni Mateso kwa nchi na raia, lkn ikibidi (au kama Umma haujitambui kama ilivyo TZ Bara) tunaweza kumvumilia kwa miaka mingine mitano - jumla 10, lkn si zaidi
Sikiliza: