SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,181
- 9,796
“…sasa leo kinachotokea kwa watu wa chama changu Chadema wanasema no reform no election mnajua imetoka wapi kwenye ile 4R ya mheshimiwa Rais ya tatu…hivi kwa watu kusema wanataka reform ni kosa? Mheshimiwa rais yeye ameridhia kwamba hii nchi kama taifa tuje pamoja tujadili mustakabali wa maendeleo yetu…leo tunawaweka ndani kwa sababu ya kutaka reform…”- Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest.
Luca Mwashambwa Na machawa wenzakoo. Muelewe
Luca Mwashambwa Na machawa wenzakoo. Muelewe