Hao wanaodaiwa walipe madeni yao...dawa ya deni ni kulipa!Asante kwa takwimu Kiongozi..
Lakini ujue kuna watumizi wa JF ambao ni members, lakini wakati mwingine wanasoma bila ya kulog-in, kwa sababu binafsi..tena wa hivyo ni weengi sana...kUNA SHIDA MBALIMBALI BANA, wengine tunadaiana fedha hapa ndani, kwahiyo si lazima nilogi ati!
Ukweli unabaki pale pale kwamba si lazima member anapoamua kuchungulia humu atalogin, na asipologin ataonekana kama guest. Kwa hiyo takwimu hizo si kielelezo cha status ya registration ya anayechungulia humu.Hao wanaodaiwa walipe madeni yao...dawa ya deni ni kulipa!
daima mbele siku zoteHata kama watakuwa Elfu kumi hao wasiokuwa Wanachama waache tu wachungulie ni bure kuwa wtu wachache wenye manuafaa zaidi ya kuwa watu wengi tena wenye hasara hao wasikuwa wanachama kazi yao ni kuangalia wanachama kitu gani wanachofanya Ehhh vizuri sana sio mbaya Tunaiombea JF izidi kuendelea vizuri na hao viongozi Mwenyeezi mungu ndio atakae walipa wema wao Aluta Continous Jamii Forum idumu Milelel Amina.
tunashukuru kama msg zinamfikia....Kuna watu wengine ni mamemba...lakini somedays wanakuja kuchekicheki tu, hawajihisi kulogin na kuchangia mijadala....mie mmoja wapo. As long as wanajua kuwa wakija hapa kijiweni watapata nyuzi na mafunzo mbalimbali...basi nia ya JF imetimia....nasikia pia mkuu wa kaya huwa anakujaga hapa kuchekicheki....
Asante kwa takwimu Kiongozi..
Lakini ujue kuna watumizi wa JF ambao ni members, lakini wakati mwingine wanasoma bila ya kulog-in, kwa sababu binafsi..tena wa hivyo ni weengi sana...kUNA SHIDA MBALIMBALI BANA, wengine tunadaiana fedha hapa ndani, kwahiyo si lazima nilogi ati!
hahahaaaaa, mpwazzzz!Asante kwa takwimu Kiongozi..
Lakini ujue kuna watumizi wa JF ambao ni members, lakini wakati mwingine wanasoma bila ya kulog-in, kwa sababu binafsi..tena wa hivyo ni weengi sana...kUNA SHIDA MBALIMBALI BANA, wengine tunadaiana fedha hapa ndani, kwahiyo si lazima nilogi ati!