Kumbe wanaume ndio wapo hivi!?

Pole. Ndio, people should still have close relationships with their parents hata baada ya kuoa/kuolewa ila mbona kama mume wako amepitiliza... Tena kwa anavyofanya inaonyesha kabisa he doesnt care about your feelings
 
Ushauli wangu ili uweze kwenda sambamba na mmeo kwa vile ana mapenzi makubwa na mama ake basi nawe huna sababu ya kuludi nyuma kuonyesha upendo uliopitiliza kwa mama mkwe tena kipindi wanaongea we unapaswa kuwa karibu zaidi nae namaanisha uwe ubavuni mwake hakika hutojuta na ndoa yako, lakini kama utakuwa unamwona mmeo wapo karibu na mama ake we unanuna utakonda sana.
 
KUWA MPOLE MKUU,HIZO NI CHANGAMOTO TU ZA NDOA,CHA MUHIMU JARIBU KUPOTEZEA HIYO HALI NA KUISHI BILA STRESS.PUUZIA VITU VIDOGO VIDOGO UTAISHI KWA AMANI.
 
Seriously??? Dume 30+ unaenda na mama yako sokoni???

Mnakaa kwenye nyumba yenu na mumeo au ni nyumba ya huyo mama?

Kama si yenu ni bora muhame/mjenge muende mkaishi mbali na hapo ili muwe mbali na huyo mama.
 
Mmh hapa unaweza uka-reply kitu ukaonekana wa ovyo!

Yawezekana kuna mahaba kati yao, si bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…