Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Wataalamu wa afya mje mtuthibitishie hili jambo.Inawezekana Elimu ya Afya wengi wetu bado hatujaipata.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Kha!kha!,Sawa bhanaHamuwezi kutuambukiza....usijali
asante mkuu kwa ufafanuzi.Virus wanapita kupitia michubuko inayopatikana wakati wa kukutana kimwili endapo kati ya hao wawili ukiwa mmoja anavyo HIV virus
Hivyo kama unakutana na michubuko haikutokea uwezekano wa kupata HIV ni mdogo
Hizo habari wanaosema hao wa mitandao ni propaganda tu sasa jidanganye
Ni kweliNi kweli
Pia kisukari hakisababishwi na sukari ila ukikipata ndio unatakiwa usitumie sukari nyingi
Ni kweli
Pia kisukari hakisababishwi na sukari ila ukikipata ndio unatakiwa usitumie sukari nyingi
Kumbe neno kudate maana yake ni kufanya ngono?View attachment 1639284View attachment 1639285View attachment 1639286
Wataalamu wa afya mje mtuthibitishie hili jambo.Inawezekana Elimu ya Afya wengi wetu bado hatujaipata.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
View attachment 1639284View attachment 1639285View attachment 1639286
Wataalamu wa afya mje mtuthibitishie hili jambo.Inawezekana Elimu ya Afya wengi wetu bado hatujaipata.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Usitukatishe tamaa AiseeVirus wanapita kupitia michubuko inayopatikana wakati wa kukutana kimwili endapo kati ya hao wawili ukiwa mmoja anavyo HIV virus
Hivyo kama unakutana na michubuko haikutokea uwezekano wa kupata HIV ni mdogo
Hizo habari wanaosema hao wa mitandao ni propaganda tu sasa jidanganye
Kwa hiyo wewe ndio kirusi mwenyewe unaongea hapa?Virus wanapita kupitia michubuko inayopatikana wakati wa kukutana kimwili endapo kati ya hao wawili ukiwa mmoja anavyo HIV virus
Hivyo kama unakutana na michubuko haikutokea uwezekano wa kupata HIV ni mdogo
Hizo habari wanaosema hao wa mitandao ni propaganda tu sasa jidanganye
Kinasababishwa na nini sasa?Ni kweli
Pia kisukari hakisababishwi na sukari ila ukikipata ndio unatakiwa usitumie sukari nyingi
Umeona eennhh?Kama ulikula kula kwa mdomo kwa mwaka mzima bila kujua status yake mmh.
Kweli mkuuUsijaribu sumu kwa kuionja.
Ok!!!,Nashukuru kwa somo zuri.Hilo liko waZi na ni valid kitaalamu ila haliwi promoted in public maana kuna wapuuzi wachache wata take advantage, ila ukiwa una maambukizi na una mwenza wako mkienda clinic mtapata darsa hilo!
Lengo hapa si kujiaminisha Ila ni kupeana elimu ili kuongeza uelewa na hivyo kupunguza unyanyapaa.Bora nikae na mawazo kuwa nkisex na muathirika bc lazima aniambukize kuliko kujiaminisha upumbavu huu ety hawezi kuniambukiza ukimwi mana mwisho wa siku ntalia mwenyew