Kumbe wamarekani ni matajiri hivi!

Kumbe wamarekani ni matajiri hivi!

jamani lowassa hayumo ktk hii list! wachagga wenzangu wa chadema tuandamaneni hapa arusha ikiwezekana hata kesho! hii list si halali kwakweli, imeniuma babu hayupo nimebaki natoa machozi tu
 
Kwenye listi yako Mbona umewasahau hawa Waafrika:
1) Aliko Dangote - $ 18.3 B.
2) Mohamed Al Amoudi - $ 11 B
3) Mike Adenuga - $ 3.8 B
4) Folorunsho Alakija - $ 2 B
5) Patrice Motsepe - $ 1.45 B
6) Mo Ibrahim - $ 1. 07 B

Just to name a few.......
hiyo ni top 62 tu hao hawamo, aliko ni wa 68
 
Solution on countering this is to ditch dollar as base/reserve currency .
They manipulate and do other maneuvers including printing by their federal reserve.
Maybe we back up our currencies using gold or green credits or even yuan tuone!
 
Africa katika ubora wetu, tunakimbia kimbia tu na michepuko daily!!!
 
Marekani ina watu million 400 Y not" India na China zinakuja kwa kasi katika idadi ya kuongeza mabillionare
Idadi ya watu si hoja, Akili, sheria za biashara na kodi, usalama, taasisi imara pamoja na uzalendo wa Wa USA ndio unaowapa utajiri mkubwa, ukiangalia hata matajiri walioko nchi zingine wanafanya biashara na USA na wanategemea hapo na pesa zao nyingi na uwekezaji uko USA,
 
Africa ni Empty!!!!!!
Usijidhalilishe; Africa pia wapo: Dangote anajulikana zaidi lakini wapo wengine pia kwa mfano Mohamed Ibrahim, Yusuph Manji, Mohamed Enterprises, na wengineo wengi

teh!!! teh!!!
 
Usijidhalilishe; Africa pia wapo: Dangote anajulikana zaidi lakini wapo wengine pia kwa mfano Mohamed Ibrahim, Yusuph Manji, Mohamed Enterprises, na wengineo wengi

teh!!! teh!!!
yep sisi tutabakia kuwepo kwenye profiles na frontpages za Forbes
 

Amakweli hilo nalo ni neno

Yep Mkuu hivi wapangwe watu wenye pesa ......na sio vibaka na mafisadi namaanisha real investors wa Kitanzania hapa ...........hupati hata mmoja! Philanthropists na Seed capital funders ndio hakuna kabisa ...........sisemi watu vibaya lkn hivi tujiulize wanaoitwa matajiri nchi wanaifanyia nini?

We've got a long way to go
 
Back
Top Bottom