Kumbe wamarekani ni matajiri hivi!

Kumbe wamarekani ni matajiri hivi!

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,513
Reaction score
8,276
Watu 62 matajiri zaidi duniani nusu yao wanatoka marekani, 17 barani ulaya na waliosalia wanatoka mataifa ya China, Brazil, Mexico, Japan na Saudi Arabia.
 
Katika hiyo list kiwango cha chini ni USD ngapi? Dangote vipi?
 
USA baby

upload_2016-1-22_11-23-26.png
upload_2016-1-22_11-23-28.png
upload_2016-1-22_11-23-26.png upload_2016-1-22_11-23-28.png upload_2016-1-22_11-23-26.png upload_2016-1-22_11-23-28.png upload_2016-1-22_11-23-26.png upload_2016-1-22_11-23-28.png
 
Soma hyo utanielewa kwanini nasema China inakuja kwa kasi
nimesoma lakin sijaona china anakuja kwa kasi bali nimeona amerika kaskazini na ulaya wanazidi kuchanja mbuga
 
Watu 62 matajiri zaidi duniani nusu yao wanatoka marekani, 17 barani ulaya na waliosalia wanatoka mataifa ya China, Brazil, Mexico, Japan na Saudi Arabia.
Kwenye listi yako Mbona umewasahau hawa Waafrika:
1) Aliko Dangote - $ 18.3 B.
2) Mohamed Al Amoudi - $ 11 B
3) Mike Adenuga - $ 3.8 B
4) Folorunsho Alakija - $ 2 B
5) Patrice Motsepe - $ 1.45 B
6) Mo Ibrahim - $ 1. 07 B

Just to name a few.......
 
Back
Top Bottom