LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Jamani nimepitia website ya CDM, kwenye ile list of shame. Naona Mkulu alishiriki kuingia mikataba ya madini ambayo iliwaondoa watu kwa nguvu maeneo husika. Kumbe huyu mkulu ndo alikuwa engineerer wa ile issue? Du sasa naona Mwanza na Shinyanga amkeni na Tanzania kwa ujumla. Tulipoteza ndugu zetu wengi ambao walikuwa katika kujitafutia maisha. Truely, we are living in a crazy world.Check mweneyewe
Orodha ya Mafisadi (List of Shame)
Orodha ya Mafisadi (List of Shame)