Tripper
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 722
- 1,294
Inategemea na kazi unayofanya. Hivi ni bebe tofali au nilime alafu nile kidogo
Inategemea na kazi unayofanya. Hivi ni bebe tofali au nilime alafu nile kidogo
duh!!!! watu wanajua kuhudumia matumbo yao bhana lah!!!! yani kilo 1.5 ya kitimoto na ugali?
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Aliangalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.
Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.
Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa kopo la Coca Cola aliweka wine. Maji ni muhimu hapa kati kati.
Tunakula vyakula vingi tusivyo vihitaji. Wakati wa WWII, wanajeshi wa Magharibi waliotekwa Japan walilishwa kibakuli cha wali na kipande cha nyama kila baada ya masaa 24. Wengi waliishi mpaka kurudi makwao wakiwa wamekonda sana.
Iliwachukua zaidi ya mwezi kuzoea milo mitatu kwa siku.
kauli tata sanaaa .. hahahaUle yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!
Wanawake wenyewe wa Kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
Ule yai moja halafu utegemeee umfikishe mkeo kileleni si kweli!
Wanawake wenyewe wa Kiswahili walivyo na matako makubwa bila lishe hutoboi!
Ngoja nikivunja kikoba uje unitembeze tembeze huko mjini Dar nasikia ni pazuri sana etiNgoja niende Vegas pub kurasini nikale kilo moja ya kitimoto na altar....kila mtu atakufa utake usitake
😂😂 mkuu kilo na nusu unamaliza kwa siku moja?Maisha yenyewe yamejaa tozo, Kiukweli mi nashindilia,Nikiwa kwangu nikipika wali Ni kilo na nusu,Wala usishangae nikikwambia hua sushibi.
Acha nile duniani maana mbinguni havita kuwepo
Mkuu kama hutajali unaweza kutupa orodha ya mbadala Wa hivi vyakula vyetu vya kushiba?Kuna mama mzungu ali muasili mtoto wa Kitanzania, ilimchukua muda mtoto kuzoea kiasi cha chakula kwenye sahani yake.
Alimfahamisha sababu ya kila walichofanya. Alimwambia nyama ni chanzo cha kuongeza damu mwilini lakini si vizuri kula nyama kila siku.
Nyama ilikua ni Jumapili na J5 lunch na jioni kipande cha mkate, salad na mayai mawili ya kuchemsha.
Jirani yangu ananunua kilo tano za mchele kila mwisho wa mwezi na yuko single. Nilimwambia kilo tano kwangu zinakata miezi 4-6.Maisha yenyewe yamejaa tozo, Kiukweli mi nashindilia,Nikiwa kwangu nikipika wali Ni kilo na nusu,Wala usishangae nikikwambia hua sushibi.
Acha nile duniani maana mbinguni havita kuwepo
Kipande cha mhogo wa kuchemsha, hoho mbichi na nyanya na changu wa kukaanga.Mkuu kama hutajali unaweza kutupa orodha ya mbadala Wa hivi vyakula vyetu vya kushiba?
Kwa Mfano Jumatatu Nile Nini na Nini, Jumanne halikadhalika mpaka wiki iishe?
Karibu sana mami...huku kutamu balaa, ila uwe na helaNgoja nikivunja kikoba uje unitembeze tembeze huko mjini Dar nasikia ni pazuri sana eti
Hivi mkuu mayai ya kukaanga yana protein?Unaweza kula moja kwa siku.
Nilikuwepo mkuu,enzi hizo ngono iliiitwa kufanya matusi,yani demu wa enzi ikigundulika kagongwa basii mtaani wikihiyo ni gumzo kuhusu hiyo issueMiaka hiyo ulikuwepo?
Kwanini sio pilau mkuu?Nilikuwa nafanya mazoezi yule trainer akawa anasema usiku huruhusiwi kula pilau,Nilikuwa namcheka sana moyoni.
Nakuja na. Laki moja mamilooo si itatutosha kula bata wiki?Karibu sana mami...huku kutamu balaa, ila uwe na hela
Hahahahaha laki naweka wese bado ya BataNakuja na. Laki moja mamilooo si itatutosha kula bata wiki?