Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,931
Hati ya kukamata ikishatolewa na ICC intepol wanamamlaka ya kukamata.
Kama alivyokamatwa Rodrigo Durtete aliyekuwa Rais wa uphilipino kwa makosa dhidi ya uhai wa binadamu. Ndivyo hivyo wahalifu wengine watakamatwa na Interpol.
Rodrigo Durtete mpaka sasa yupo the Hague ananyea ndoo.
Kama alivyokamatwa Rodrigo Durtete aliyekuwa Rais wa uphilipino kwa makosa dhidi ya uhai wa binadamu. Ndivyo hivyo wahalifu wengine watakamatwa na Interpol.
Rodrigo Durtete mpaka sasa yupo the Hague ananyea ndoo.