Kumbe usanifu wa mradi wa SGR ulifanywa na Wahandisi wetu Wazalendo na Kuokoa Fedha nyingi za Kigeni!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,994
TRC wamesema SGR yetu imejengwa kwa kutumia Fedha kidogo ukilinganisha na SGR zote barani Africa kwa sababu iliwatumia Wahandisi Wazalendo kufanya Upembuzi yakinifu wa mradi na Kazi za ushauri

Endapo tungetumia washauri wa Contractor kama ifanyikavyo kwenye Miradi mikubwa basi gharama za Ujenzi wa SGR hii ingekuwa kubwa sana, amesema Masanja Kadogosa

Ubunifu wetu umetufanya tuokoe Fedha nyingi za Kigeni, amesisitiza

Ikumbukwe pia SGR yetu ndio Bora ukilinganisha na hizo za nchi nyingine zinazotajwa tajwa kwenye mitandao ya Kijamii

Chanzo: ITV
 
TRC wamesema SGR yetu imejengwa kwa kutumia Fedha kidogo ukilinganisha na SGR zote barani Africa kwa sababu iliwatumia Wahandisi Wazalendo kufanya Usanifu wa mradi na Kazi za ushauri

Endapo tungetumia washauri wa Contractor kama ifanyikavyo kwenye Miradi mikubwa basi gharama za Ujenzi wa SGR hii ingekuwa kubwa sana, amesema Masanja Kadogosa

Ubunifu wetu umetufanya tuokoe Fedha nyingi za Kigeni, amesisitiza

Ikumbukwe pia SGR yetu ndio Bora ukilinganisha na hizo za nchi nyingine zinazotajwa tajwa kwenye mitandao ya Kijamii

Source ITV
Mkuu Contractor kamwe hafanyi usanifu.
 
Habari njema kwa wataalam wa ndani lakini wapewe na heshima si kuwatamka mdomoni tu. Kuna taasisi vijana wamegundua Mifumo mingi lakini kila uongozi mpya ukiingia unakuja na taswira zake mfukoni (Yale nchi haina dira) hakuna wanalopata zaidi ya kuletewa watu wapya na wakae juu Yao (Mfano TANESCO vijana wamegundua App nyingi nzuri lakini Leo wanakuja viongozi kuleta App zao mpya baada ya kuziboresha zilizopo). TRC wawatumie hao wataalam na iwe chachu kwa vijana kujifunza kupitia kwao. UJUZI NDIYO HATMA NZURI YA MAENDELEO YEYOTE DUNIANI.
 
Upembuzi yakinifu

Amesema Washauri wanaletwa na Mkandarasi
Upembuzi yakinifu kuhusu mradi fulani ni kitu tofauti na usanifu au designing na ni tofauti na construction ya huo mradi. Hakuna hata siku moja kwenye mradi wa ujenzi Washauri wanaosimamia ujenzi wakaletwa na Mkandarasi anayejenga.
 
TRC wamesema SGR yetu imejengwa kwa kutumia Fedha kidogo ukilinganisha na SGR zote barani Africa kwa sababu iliwatumia Wahandisi Wazalendo kufanya Upembuzi yakinifu wa mradi na Kazi za ushauri

Endapo tungetumia washauri wa Contractor kama ifanyikavyo kwenye Miradi mikubwa basi gharama za Ujenzi wa SGR hii ingekuwa kubwa sana, amesema Masanja Kadogosa

Ubunifu wetu umetufanya tuokoe Fedha nyingi za Kigeni, amesisitiza

Ikumbukwe pia SGR yetu ndio Bora ukilinganisha na hizo za nchi nyingine zinazotajwa tajwa kwenye mitandao ya Kijamii

Chanzo: ITV
Pongezi ziende kwa hayati Magufuli kwa kuwaamini wahandisi wa kitanzania,kadhalika pongezi wahandisi hao kwa kazi nzuri
 
TRC wamesema SGR yetu imejengwa kwa kutumia Fedha kidogo ukilinganisha na SGR zote barani Africa kwa sababu iliwatumia Wahandisi Wazalendo kufanya Upembuzi yakinifu wa mradi na Kazi za ushauri

Endapo tungetumia washauri wa Contractor kama ifanyikavyo kwenye Miradi mikubwa basi gharama za Ujenzi wa SGR hii ingekuwa kubwa sana, amesema Masanja Kadogosa

Ubunifu wetu umetufanya tuokoe Fedha nyingi za Kigeni, amesisitiza

Ikumbukwe pia SGR yetu ndio Bora ukilinganisha na hizo za nchi nyingine zinazotajwa tajwa kwenye mitandao ya Kijamii

Chanzo: ITV
Naomba hii iwe marked kama moja ya kazi bora kabisa za wahandisi wetu wa ndani..
 
Ila ila project ni design and build. Yaani TRC anatoa requirements zake na mkandaarasi anafanya usanifu (anakuwa ni team ya wasanifu) pamoja na gharama za ujenzi.
Team ya TRC inasimamia usanifu uliofanya na mkandarasi (though wasanifu wa mkandarasi)
 
Huyo mpumbavu katoa mfano wa SGR angalau 4 za Afrika kwa kutaja urefu na ubora pamoja na gharama za jumla?
Wasitufanye wajinga.
 
Ccm mmeongea uwongo mwingi hadi imekuwa kazi kubwa sana kuwaamini.
TRC wamesema SGR yetu imejengwa kwa kutumia Fedha kidogo ukilinganisha na SGR zote barani Africa kwa sababu iliwatumia Wahandisi Wazalendo kufanya Upembuzi yakinifu wa mradi na Kazi za ushauri

Endapo tungetumia washauri wa Contractor kama ifanyikavyo kwenye Miradi mikubwa basi gharama za Ujenzi wa SGR hii ingekuwa kubwa sana, amesema Masanja Kadogosa

Ubunifu wetu umetufanya tuokoe Fedha nyingi za Kigeni, amesisitiza

Ikumbukwe pia SGR yetu ndio Bora ukilinganisha na hizo za nchi nyingine zinazotajwa tajwa kwenye mitandao ya Kijamii

Chanzo: ITV
 
Back
Top Bottom