Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,468
Haya ndio mambo ninayotaka kusikia kwa sasa.Thanks mleta ujumbe
Kwani hayo mengine huwa unalazimishwa?!
Haya ndio mambo ninayotaka kusikia kwa sasa.Thanks mleta ujumbe
Usibishe sn mzee, walikuwa wanafaidika sn wakati nchi yao ina viwanda vingiii af ndo international currency, ss gharama za uzalishaji nchini mwao ni kubwa sn, ili kurudisha gharama chini lzm wapunguze thamani yao, vilevile china ss wanakubali transaction kufanyika kwa hela yao, sio lazm usd. Unakumbuka waliilazimisha japan na china kuongeza thamani ya hela zao ili nao gharama za uzalishaji ziwe juu?I think the day the dollar will loose its sole supremacy as the transaction currency in the world market,then its value will start dropping but before then bado sana
Labda hili litarudisha heshima ya Shilling yetu ambayo hata serikali ya Tanzania inaisahau kwa kuabudu dollar