Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Duh mkuu unajua kwenye sherehe kila mtu anakula mchele, basi hadi sumatra wakakusanywa na mkumbo huo, bado mamlaka ya maji safi na maji taka ya mwanza nayo, kwa kushindwa kuzuia ziwa kupindua kivuko
Post of the day!Duh mkuu unajua kwenye sherehe kila mtu anakula mchele, basi hadi sumatra wakakusanywa na mkumbo huo, bado mamlaka ya maji safi na maji taka ya mwanza nayo, kwa kushindwa kuzuia ziwa kupindua kivuko
aiseeDuh mkuu unajua kwenye sherehe kila mtu anakula mchele, basi hadi sumatra wakakusanywa na mkumbo huo, bado mamlaka ya maji safi na maji taka ya mwanza nayo, kwa kushindwa kuzuia ziwa kupindua kivuko
Duh mkuu unajua kwenye sherehe kila mtu anakula mchele, basi hadi sumatra wakakusanywa na mkumbo huo, bado mamlaka ya maji safi na maji taka ya mwanza nayo, kwa kushindwa kuzuia ziwa kupindua kivuko
Hebu soma sambamba na kifungu (a) na vifungu vyake vidogo
Kwanini usilete wewehako kakipengele tu ndo umeona, leta vipengele vyote vilivyo kwenye hivyo vifungu tukunyambulie na uhusika wake.
Mzee haupo serious kabisa,Nimemsikiliza huyu mdau kwenye hii vdeo, nikachoka aisee..
Ameeleza vizuri Capt. Bendera kwenye video katika mjadala huu.Hebu soma sambamba na kifungu (a) na vifungu vyake vidogo
Umenyofoa kifungu toshelezi kwako ili uweze kujifurahisha wewe na wenzako
Duh mkuu unajua kwenye sherehe kila mtu anakula mchele, basi hadi sumatra wakakusanywa na mkumbo huo, bado mamlaka ya maji safi na maji taka ya mwanza nayo, kwa kushindwa kuzuia ziwa kupindua kivuko
ni wote hao wanakariri vifungu pendwa ili kujifurahisha tu mioyo yao,ukitizama sheria nzima sumatra wanapaswa kuwajibikaAmeeleza vizuri Capt. Bendera kwenye video katika mjadala huu.
aliyeanzisha alete alichokificha ili tuanike udaga hadharani, uhusiano upo ndo maana tumemwomba alete, kuna watu wanaoleta vifungu vinavyo furahisha mioyo yao...Kwanini usilete wewe
ni wote hao wanakariri vifungu pendwa ili kujifurahisha tu mioyo yao,ukitizama sheria nzima sumatra wanapaswa kuwajibika