Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Nadhani Hujamuelewa Pasco. Maalim Anaogopwa Na Watawala Na Si RaiaUmeandika vizuri sana ila umekosea sentensi moja tu ambayo imefuta maana yote ya Makala yako, maalim Seif Sharif Hamad ni kipenzi cha wazanzibari kwa hiyo ishu sio rangi nyeusi au ya kiarabu