Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,543
Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan https://www.jamiiforums.com/threads/iwapo-ccm-itashindwa-zanzibar-nini-majaaliwa-ya-muungano.838604/']Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?


Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.

Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.

Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.

Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.

Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.

Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco
 
Wananchi saivi wako bizi Na kuwasaidia viongozi kutafuta sukari zilizofichwa unawaletea mambo ya Zanzibar. Waachie wenyewe Wazanzibar watajua Kama itakua Ni majuto Kwao . Na hizi video zako Za kutengeneza.

Jaribu Mara nyingine kwenda Na wakati Na mahitaji ya wananchi, watu wanapambana huku Na kule kuhakikisha bunge Lao linaonyeshwa live.. Wewe unaweka porojo.
 
Halafu kama Maalim ana vinasaba vya sultan je, CUF itakosa vinasaba vya Maalim?
Wewe unataka kujenga ghorofa kwenye msingi wa matope. Ukweli ni kuwa CCM hawataachia madaraka popote bila wao kupinduliwa. Tena na hii pembe tatu ya Ngosha, Kagame na Museveni iliyoanza, tutarajie giza kwenye demokrasia yetu. Birds of the same fethers fly together!
 
Na ndio maana Nyerere aliwaambia wana CCM kwamba wasione haya kusisitizia serikali mbili hadi mwisho wa dunia. Serikali tatu itakuwa kihama kwa huu muungano.
 
Huwezi kupata njia ya kumuunganisha sultan na maalim ukakosa njia ya kumuunganisha sultan na CUF. Ule ujumbe wenu wakibaguzi ulitaja 'machotara wa Hizbu' haukuongelea mtu mmoja.
Hivyo hata Maalim akitoka kwenye picha mtatafuta uhusiano kati ya sultan na CUF.
Ila kumbukeni Mandela alimaliza miaka 27 Roben ailand na bado akawa rais wa wote. Here goes the invictus... Out of the night that uncovers me, dark as the pit from pole to pole. I thank whatever gods may be for my uncoungerable soul.... And the words: I am the master of my life and the captain of my soul. Maalim is about to go into the history of the great!
 
Huwezi kupata njia ya kumuunganisha sultan na maalim ukakosa njia ya kumuunganisha sultan na CUF. Ule ujumbe wenu wakibaguzi ulitaja 'machotara wa Hizbu' haukuongelea mtu mmoja.
Hivyo hata Maalim akitoka kwenye picha mtatafuta uhusiano kati ya sultan na CUF.
Ila kumbukeni Mandela alimaliza miaka 27 Roben ailand na bado akawa rais wa wote. Here goes the invictus... Out of the night that uncovers me, dark as the pit from pole to pole. I thank whatever gods may be for my uncoungerable soul.... And the words: I am the master of my life and the captain of my soul. Maalim is about to go into the history of the great!
 
Huwezi kupata njia ya kumuunganisha sultan na maalim ukakosa njia ya kumuunganisha sultan na CUF. Ule ujumbe wenu wakibaguzi ulitaja 'machotara wa Hizbu' haukuongelea mtu mmoja.
Hivyo hata Maalim akitoka kwenye picha mtatafuta uhusiano kati ya sultan na CUF.
Ila kumbukeni Mandela alimaliza miaka 27 Roben ailand na bado akawa rais wa wote. Here goes the invictus... Out of the night that uncovers me, dark as the pit from pole to pole. I thank whatever gods may be for my uncoungerable soul.... And the words: I am the master of my life and the captain of my soul. Maalim is about to go into the history of the great!
 
Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?


Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.

Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.

Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.

Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.

Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.

Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco

Naona uko obsessed na Zanzibar
 
Huwezi kupata njia ya kumuunganisha sultan na maalim ukakosa njia ya kumuunganisha sultan na CUF. Ule ujumbe wenu wakibaguzi ulitaja 'machotara wa Hizbu' haukuongelea mtu mmoja.
Hivyo hata Maalim akitoka kwenye picha mtatafuta uhusiano kati ya sultan na CUF.
Ila kumbukeni Mandela alimaliza miaka 27 Roben ailand na bado akawa rais wa wote. Here goes the invictus... Out of the night that uncovers me, dark as the pit from pole to pole. I thank whatever gods may be for my uncoungerable soul.... And the words: I am the master of my life and the captain of my soul. Maalim is about to go into the history of the great!

Naomba uangalie upnde wa pili wa salafu. Hili jitu linaseme "If my people want me back I will certainly go..". Linaposema watu wake wakitaka lirudi litarudi, hao watu wake ni kina nani? Lazima tuwe makini hapa tpate euelewa wa hili shetani, ili tuone utaratibu gani sahihi utafaa kuikomboa Zaznibar toka ccm. Isije ikawa linatoa mate likimaanisha tusiyoyajua. Yale yasiyozungumzwa hadharani.
 
Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?


Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.

Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.

Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.

Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.

Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.

Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco

Umenisaidia kuiona hii clip lakini nataka kukupinga kuhusu kuamini kuwa Maalim Seif huwa anashinda na kunyimwa ushindi wake. Nachosema hii kauli haina ukweli. Maalim Seif hajawahi kushinda uchaguzi wowote tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze. Mwaka 1995 utata ulikuwa ni kwenye kokotoa matokeo kwani kura zilizoharibika hazikutumika katika kupata asilimia 52% za Salimin wala za Seif. Iwapo zingetumika uchaguzi ungerudiwa kwani katiba ilitaka mshindi ni aliyepata zaidi ya asilimia hamsini.
Baada ya kuuona huu usumbufu, katiba ya JMT na ya Zanzibar zilibadirishwa na kuruhusu ushindi kwa kuzidi kura. Pia kufungu cha kuruhusu jimbo kuwa wazi kwa siku 90 nacho kilibadirishwa na kufanya jimbo laweza kuwa wazi kwa miezi 25 au kadiri bunge litakavyoona inafaa.
Pia hapa umetumia neno kila siku anashinda lakini hatangazwi. Hapa naona naona umetia ufundi tu wa kucheza na maneno kwa kutia chumvi kidogo maana ingekuwa hivyo sasa hivi ningekuwa nasubiri kutangazwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana.
Tuthibitishe niliyosema kwa kwenda kudurusu vyanzo husika kama ZEC na nyingine nyingi ukweli utabainika kuwa Seif hajawahi kupata kura nyingi kuliko mgombea wa urais yeyote wa ccm Zanzibar.
 
Kama waislam hawapendi kuhusishwa na ugaidi kwanini tumhusishe maalim na sultan na unyama.

CCM hamna hoja dhidi ya Maalim. Hata hawa watengeneza propaganda kama Pasco mliowaajiri will end up throwing tools into the works because they have a very weak base from which they build their argument.

Kwanza ubaguzi tu wa kuwaita wenzenu machotara wa hizbu umewaondolea moral high ground in this struggle.
USA wana mchanganyiko wa race na kila race ina equal chance to leadership and Obama stands as a testament.
Uingereza hivi majuzi mayor Muislam amechaguliwa pamoja na maneno kuwa Uingereza iko katika vita dhidi ya Uislam.

Pasco and the likes kuweni makini sasa, CCM hawana hoja yoyote ya kitaifa wala maslahi ya walio wengi katika hili la Maalim. Hii ni dhuluma ya mchana kweupe inayofaidiwa na watu wachache wakati nyie mkirushiwa mifupa chini ya meza kwa kusaidia kuipaka rangi dhuluma hii... You know.... just to make it more agreeable! Shame on you kind of peaple who will do anything without coinscience just to get something!
 
Kama waislam hawapendi kuhusishwa na ugaidi kwanini tumhusishe maalim na sultan na unyama.

CCM hamna hoja dhidi ya Maalim. Hata hawa watengeneza propaganda kama Pasco mliowaajiri will end up throwing tools into the works because they have a very weak base from which they build their argument.

Kwanza ubaguzi tu wa kuwaita wenzenu machotara wa hizbu umewaondolea moral high ground in this struggle.
USA wana mchanganyiko wa race na kila race ina equal chance to leadership and Obama stands as a testament.
Uingereza hivi majuzi mayor Muislam amechaguliwa pamoja na maneno kuwa Uingereza iko katika vita dhidi ya Uislam.

Pasco and the likes kuweni makini sasa, CCM hawana hoja yoyote ya kitaifa wala maslahi ya walio wengi katika hili la Maalim. Hii ni dhuluma ya mchana kweupe inayofaidiwa na watu wachache wakati nyie mkirushiwa mifupa chini ya meza kwa kusaidia kuipaka rangi dhuluma hii... You know.... just to make it more agreeable! Shame on you kind of peaple who will do anything without coinscience just to get something!
Bottom line, Maalim for Isle presidency, big NO!
 
Masopakyindi, Maalim will be president trust me.
I will make the logistics very clear for you.

1. Maalim has all the big international players on his back.
2. Maalim has the support of the majority and respectable personalities in Zanzibar.
3. Maalim and CUF have a cause to fight for because yes they won.
4. Maalim has done his homework to prapare his people for the struggle.
5. Maalim has chosen a strategy that can harm CCM the most and that is non violent struggle though it could go vieolent if CCM push too hard.
6. CCM doesnt have a cause to fight, they are devoid of moral authority.
7. There isnt so much at stake for Tanganyika to risk a full scale civil war in Zanzibar which could also backfire in Tanganyika and set a precident in other elections.
8. If it boils down to arms, Zanzibar is a very fragile zone and dont forget that the kind of people that will be involved dont have a harbit of shying away from arms.
 
Masopakyindi, Maalim will be president trust me.
I will make the logistics very clear for you.

1. Maalim has all the big international players on his back.
2. Maalim has the support of the majority and respectable personalities in Zanzibar.
3. Maalim and CUF have a cause to fight for because yes they won.
4. Maalim has done his homework to prapare his people for the struggle.
5. Maalim has chosen a strategy that can harm CCM the most and that is non violent struggle though it could go vieolent if CCM push too hard.
6. CCM doesnt have a cause to fight, they are devoid of moral authority.
7. There isnt so much at stake for Tanganyika to risk a full scale civil war in Zanzibar which could also backfire in Tanganyika and set a precident in other elections.
8. If it boils down to arms, Zanzibar is a very fragile zone and dont forget that the kind of people that will be involved dont have a harbit of shying away from arms.
BIG YES! wajinga ndio wanaojifariji kua CUF inapotea kwenye siasa za Z'bar, hawajui kua maalim Seif ni intelligent and technical person. Hata mimi nikionacho ni kilio cha CCM mbeleni. Mwenye akili hawezi kua mnyonge kiasi hicho anyang'anywe ushindi halafu akae kimya, Binafsi nafikiri Maalim Seif na CUF walipata washauri waziri sana japo awali ilikua ngumu kumwelewa.CCM kupitia hili sakata itajiua yenyewe Z'bar.
 
Pasco...unachuki na waarabu au unataka tuamini kuwa hakuna tawala mbaya zilizo wahi kutawala znz au tanganyika zaidi ya waarabu?
Pasco kama kweli unachukia mauwaji au mateso kwa binaadamu dhidi ya binaadam mbona sijawahi kukuona ukileta madhila ya wareno dhidi wa wazanzibari wajerumani dhidi ya watanganyika?
Au wareno walikuwa nahaki yakuuwa na kunyanyasa wazanzibari na wajerumani nao walikuwa na haki ya kuuwa watanganyika?
Kila kukicha nikiingia humu nakuona ww na waarabu tu au kunazaidi ya haya unayotaka kutuaminisha?
Pasco kama kina muarabu kakuharibu basi usiwachukie waarabu wote kila jamii ina watu wabaya na wazuri.
Mm nakwenda znz mara kwa mara sijawahi kuona tofauti ktk jamii zinazo ishi znz naona waswahili wakinywa kahawa na machotara ya kiarabu na kihindi huku wakicheka na kutaniana.
Au unataka waznz wafarakane?
 
+plus Tanganyika haitegemewi kuungwa mkono na nchi yoyote katika vita vya serikali dhidi ya watu wake kama ikitokea Zanzibar ila wananchi wa Zanzibar chini ya Maalim wataungwa mkono na mataifa makubwa ambayo yameshaonyesha utayari. Na sidhani kama Ngosha atakomaa sana maana atarisk regime change Tanganyika. Anachokifanya Maalim ni kuifanya serikali na jeshi liingie kwenye mkakati wake halafu ngoma itwangwe.
 
Back
Top Bottom