johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Awali niliamini Job Ndugai atapita bila kupingwa kwa sababu hana mpinzani.
Kumbe nilikosea, amepigiwa kura za ndiyo na Hapana.
Ikumbukwe jimboni kwake Kongwa, Ndugai alipita bila kupingwa.
Maendeleo hayana vyama
Kumbe nilikosea, amepigiwa kura za ndiyo na Hapana.
Ikumbukwe jimboni kwake Kongwa, Ndugai alipita bila kupingwa.
Maendeleo hayana vyama