bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Zitto anastahili kuhojiwa na magazeti pendwa and there is where he belongs. Anamtoto na hajaoa huyu kweli ana maadili ? Ina maana kamtelekeza mzazi mwenzie
Hivi kweli ni ajabu Freeman Mbowe kumsomesha mtoto wa kada wa ccm..kama hana uwezo...siasa inawachanganya sana wanasiasa wachanga!,,,,,?
Zitto anastahili kuhojiwa na magazeti pendwa and there is where he belongs. Anamtoto na hajaoa huyu kweli ana maadili ? Ina maana kamtelekeza mzazi mwenzie
"Sitta ndiye aliyenisomesha kidato cha tano na sita. Wakati huo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na ofisi yake ilikuwa jirani na jengo la Benjamin Mkapa Tower. Nilienda ofisini kwake na kumwambia kuwa nataka kuhama kwa sababu kule Galanos hakuna walimu, nikamwambia nataka kusoma hesabu kwa sababu nilikuwa nachukua masomo ya Historia, Jiografia na Uchumi (HGE) na nilitaka kubadilisha na kusoma uchumi, jiografia na hesabu (EGM). Kutokana na Sitta kufurahishwa na matokeo yangu, kila likizo kabla sijaenda shule nilikuwa napita kwake na alinipatia ada na fedha za matumizi, kuanzia kidato cha tano hadi sita na baadaye tulikuja kukutana naye bungeni"-Zitto
=======================================
Chanzo:Mwananchi
Maelezo mazuri sana hayo na ndo viongozi tunaowataka wanaojua kujieleza vizuri. Hivi unaweza kufanya mahojiano na MBOWE ukapata historia yake na maelezo mazuri yaliyopangiliwa kisomi kama haya ya Zitto???
Zitto alistahili kuwa kiongozi au Seneta kwenye majimbo kama NEW YORK.
Najua vijibaroho roho zinawauma sana kila muonapo andishi la zitto.
Hivi Mbowe kuna mahala ashawahi kuielezea historia yake ya maisha? Hivi mbowe kuna sehemu ashawahi kutoa hata mchango wa mawazo hata kwenye mitandao ya kijamii au hata kwenye kipeperushi chake cha Tanzania Daima???
Seneta wa wazoa mavi