Kumbe sina kabila

Kumbe sina kabila

Point ni kwamba sina kabila dont care wapi nimetokea.
Safi sana! Ni vyema usiwe na dini pia kwa sababu hata dini utasikia dini ile ya makafir mara ile ya Al Shabaab mara ile nyingine ya mashoga nk! Makameeee, ushanifahamu?
 
Wanajamvi!
Baada ya kutafakari kwa muda na kwa kina kuhusu makabila yote duniani. Nimeamua niwe sina kabila.hii ni kwasababu
1.Mwanadamu wa kwanza (ADAM) Ambae wanadamu wote tumetokana nae alikua hana kabila.

2.Kutokua na kabila kutaniweka huru na kashfa zote zinazoelekezwa kwa makabila ya hapa nchini,kama majivuno,ubishi,wizi,ubahiri n.k
3.Kutokua na kabila kutaniweka huru na tamaduni zote ambazo zimepitwa na wakati kama ukeketaji,nyumbantobo,kuoa ng'ombe 70 n.k
My take- sijaona faida hata 1 ya kabila nipo huru sasa karibu ujiunge nami.
Hqtq milq qmbqzo hazijapitwa na wakati nazo ni za kabila fulani
 
Safi sana! Ni vyema usiwe na dini pia kwa sababu hata dini utasikia dini ile ya makafir mara ile ya Al Shabaab mara ile nyingine ya mashoga nk! Makameeee, ushanifahamu?

Dini ni mpango wa Mungu na utaratibu wake upo ktk vitabu vitakatifu.
Pia mpango wa dini ni kumuongoza mwaadamu kutenda yalio mema.
 
Mkuu unacho sena unakosea .....just imagine baba yangu ni wa mji kasoro bahari mama yangu wa iringa mi sijui kuongea kilugha chochote sasa mi nina asili gani ....fine nitasema mi wa moro hatakuongea sijui zaidi ya kiswahili ........just imagine my kids wataongea language gani kama siyo swahili ........sasa utaniambia mimi limbukeni kivipi......jamaa anapoint sema wewe unadhani au unaona ni siasa na hilo ndi tatizo letu......lets change
Kujua Lugha ya wanatoka wazazi wako kuna ladha yake mkuu! Mi nimejikomboa sasa nafahamu lugha za asili walikotoka wazaz wangu,Nimekataa Utumwa Wa Kuongea lugha za Makabila ya Wengine.JIFUNZE na utaona ladha yake mkuu
 
Wanajamvi!
Baada ya kutafakari kwa muda na kwa kina kuhusu makabila yote duniani. Nimeamua niwe sina kabila.hii ni kwasababu
1.Mwanadamu wa kwanza (ADAM) Ambae wanadamu wote tumetokana nae alikua hana kabila.

2.Kutokua na kabila kutaniweka huru na kashfa zote zinazoelekezwa kwa makabila ya hapa nchini,kama majivuno,ubishi,wizi,ubahiri n.k
3.Kutokua na kabila kutaniweka huru na tamaduni zote ambazo zimepitwa na wakati kama ukeketaji,nyumbantobo,kuoa ng'ombe 70 n.k
My take- sijaona faida hata 1 ya kabila nipo huru sasa karibu ujiunge nami.

Ngoja kwanza nitafute Makame ni kabila gani, nitarudi baadaye..........
 
Point ni kwamba sina kabila dont care wapi nimetokea.
Huwezi kukana kisichokuwepo,tuambie kabla hujaukana 'utambulisho wako' ulikuwa nani?
halafu mtu asiyejitambua na kujinasibisha na asli yake anakuwa mtumwa ,sijui wewe mwezetu utaishi kwa tamaduni ipi?maana ukisema sina kabila na kutumia kiswahili,hao waswahili wana makabila yao wanatamaduni zao,hulka na silka zao na utakapotumia lugha yao by default utaishi katika matendo ya kabila zao ,sasa hapo ndugu sijui utakuwa umekataa kuitw kabila fulani lakini unaishi maisha ya kabila hizo hizo !
 
Huwezi kukana kisichokuwepo,tuambie kabla hujaukana 'utambulisho wako' ulikuwa nani?
halafu mtu asiyejitambua na kujinasibisha na asli yake anakuwa mtumwa ,sijui wewe mwezetu utaishi kwa tamaduni ipi?maana ukisema sina kabila na kutumia kiswahili,hao waswahili wana makabila yao wanatamaduni zao,hulka na silka zao na utakapotumia lugha yao by default utaishi katika matendo ya kabila zao ,sasa hapo ndugu sijui utakuwa umekataa kuitw kabila fulani lakini unaishi maisha ya kabila hizo hizo !

Jitambue ndugu, unaweza ukawa na asili bila kabila. BINADAMU wa kwanza Adam alikua kabila gani?
KIMSINGI kama ni kabila basi wote tungekua na kabila lililotokana na yeye Adam.
 
punguza images.jpeg we mpemba wasiliana na babayako kwanza kabla kuja huku
 
Wanajamvi!
Baada ya kutafakari kwa muda na kwa kina kuhusu makabila yote duniani. Nimeamua niwe sina kabila.hii ni kwasababu
1.Mwanadamu wa kwanza (ADAM) Ambae wanadamu wote tumetokana nae alikua hana kabila.

2.Kutokua na kabila kutaniweka huru na kashfa zote zinazoelekezwa kwa makabila ya hapa nchini,kama majivuno,ubishi,wizi,ubahiri n.k
3.Kutokua na kabila kutaniweka huru na tamaduni zote ambazo zimepitwa na wakati kama ukeketaji,nyumbantobo,kuoa ng'ombe 70 n.k
My take- sijaona faida hata 1 ya kabila nipo huru sasa karibu ujiunge nami.
kwa muji wa hoja zako zinazopelekea kukana ukabila haziwezi kukuweka huru kama unavyofikiri
mosi,hayo majivuno,ubahiri nk vitapatwa kusemwa tu kwako sababu unaendelea kuishi ndani ya makabila hayo.
Pili,unaepuka kutoa ng'ombe kwa ajili ya kuoa,utaoa mtoto wa nani bila kumtolea ng'ombe wakati mkana makabila upopeke yako,
tatu.huyo Adam na Hawa unayezungumzia unaweza kufuatili kizazi/uzao wake hadi hapa tulipofika ili uwe na ushawishi wa kutosha kututoa kwenye makabila?
 
Kwa tafsiri ya mawazo yako wasio na baba hawana makabila.

Ndo mana nakwambia punguza mimajani itakusaidia sana toka umeanza kupatwa nafahamu ushawahi kumuona mtu hana baba???????????? kinachotokea tu wewe humjui baba ake ila mama anamjua na anajua mwanae ni kabila gani kwa usahihi umeelewa ww mpemba pori
 
kwa muji wa hoja zako zinazopelekea kukana ukabila haziwezi kukuweka huru kama unavyofikiri
mosi,hayo majivuno,ubahiri nk vitapatwa kusemwa tu kwako sababu unaendelea kuishi ndani ya makabila hayo.
Pili,unaepuka kutoa ng'ombe kwa ajili ya kuoa,utaoa mtoto wa nani bila kumtolea ng'ombe wakati mkana makabila upopeke yako,
tatu.huyo Adam na Hawa unayezungumzia unaweza kufuatili kizazi/uzao wake hadi hapa tulipofika ili uwe na ushawishi wa kutosha kututoa kwenye makabila?
Mkuu, kwa ufupi kabila ni utaratibu wa maisha ya kikundi fulani cha watu walioamua kufanana kwa mambo kadhaa kama,mila,lugha,miiko,silka n.k. Kama ukijikubalisha kuishi ndani ya hayo wewe ndo twasema una kabila.
Ukiyakataa kama mimi hapa uko Free hakuna utakachopungukiwa mkuu.
 
Ndo mana nakwambia punguza mimajani itakusaidia sana toka umeanza kupatwa nafahamu ushawahi kumuona mtu hana baba???????????? kinachotokea tu wewe humjui baba ake ila mama anamjua na anajua mwanae ni kabila gani kwa usahihi umeelewa ww mpemba pori

Nijulishe baba yake YESU anaitwa nani?
 
Back
Top Bottom