Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wakuu habari zenu .
Usiku huu nime bahatika kusema na mkubwa mmoja huko serikalini akiwa amechukia aliitwa kwenda kwenye matukio ya mauaji ya Mwanza , ghafla wamesitisha safari .Nikamuuliza kwa nini wanakimbilia kwenye mauaji na hawachukui hatua za kuacha kuwaua wananchi kasema unajua mkuu Lunyungu shida ni serikali kuwa na hofu Chadema imeweka ngome na zinaongezeka.Wanadhani kutumia risasin kutawafunza wanao ikataa CCM .Nikamuuliza ni sahihi serikali kumwaga damu kwa njia hizi na kuongopa akasema ni power struggle .Upinzani na hasa Chadema wamekubalika imekuja kama shock wao walitegemea CUF kumbe chadema ni wabaya zaidi kwa watawala so ndiyo hayo mnayo yaona leo .Kataja ngome za Chadema ni Kilimanjaro , Arusha ,Mbeya , Iringa na sasa zinaelekea Shinyanga na Dar iko nusu kwa maana ya wabunge walivyo lakini akasema Dar ni kutangaza matokeo kwa nguvu CCM haikubaliki . Mkuu huyu anayajua na kumbe wote wanayajua ila ndiyo hivyo madaraka .
Nawasilisha kwa ufupi
Usiku huu nime bahatika kusema na mkubwa mmoja huko serikalini akiwa amechukia aliitwa kwenda kwenye matukio ya mauaji ya Mwanza , ghafla wamesitisha safari .Nikamuuliza kwa nini wanakimbilia kwenye mauaji na hawachukui hatua za kuacha kuwaua wananchi kasema unajua mkuu Lunyungu shida ni serikali kuwa na hofu Chadema imeweka ngome na zinaongezeka.Wanadhani kutumia risasin kutawafunza wanao ikataa CCM .Nikamuuliza ni sahihi serikali kumwaga damu kwa njia hizi na kuongopa akasema ni power struggle .Upinzani na hasa Chadema wamekubalika imekuja kama shock wao walitegemea CUF kumbe chadema ni wabaya zaidi kwa watawala so ndiyo hayo mnayo yaona leo .Kataja ngome za Chadema ni Kilimanjaro , Arusha ,Mbeya , Iringa na sasa zinaelekea Shinyanga na Dar iko nusu kwa maana ya wabunge walivyo lakini akasema Dar ni kutangaza matokeo kwa nguvu CCM haikubaliki . Mkuu huyu anayajua na kumbe wote wanayajua ila ndiyo hivyo madaraka .
Nawasilisha kwa ufupi