Je Mama Samia kufuata nyayo za Sheikh Hasina wa Bangaladesh

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Sheikh Hasina ni Rais wa Bangadesh anayewania kipindi cha nne madarakani huko Bangaladesh. Sheikh Hasina ni mwanamama hodari, mtata kwa wapinzani wake na anayependwa wananchi wa chini.

Mama huyu anaongoza kwa mkono wa chuma, amefunga jela wapinzani wake wote kiasi cha waliobaki kususia uchaguzi unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 07.01.2024.

Najiuliza Je Mama Samia 2024/2025 hatakuwa Sheikh Hasina wa Tanzania?
 
🤣🤣🤣usimpambe bana
Mama uwezo mdogo,trust me
Afu ashazeeka hata kumbukumbu kutunza vizuri,ubongo wake wa 0.5G hauwezi
Apumzike,alee wajukuu, wazanziberi na shule na uongozi wapi na wapi?
Ashaflop,atakuwa kama Mugabe,kufia kitini🙏🙏🙏🙏
 
🤣🤣🤣usimpambe bana
Mama uwezo mdogo,trust me
Afu ashazeeka hata kumbukumbu kutunza vizuri,ubongo wake wa 0.5G hauwezi
Apumzike,alee wajukuu, wazanziberi na shule na uongozi wapi na wapi?
Ashaflop,atakuwa kama Mugabe,kufia kitini🙏🙏🙏🙏
Ssh , she is very brilliant and she is deserve to be respected
 
Back
Top Bottom