Makachu
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 449
- 465
Habari JF Members, nadhani wote ni wazima. Naomba niende kwenye Mada moja kwa moja
Kumbe Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina Pesa nyingi sana kiasi cha kwamba waliamua kusamehe deni la Tsh Trilioni 360 za MAKINIKIA na kukubali kulipwa Tsh Bilioni 900.
Sasa Je, Serikali kama iliweza kuacha fedha zote hizo, kwanini leo hii bado wanamg'angania kutukamua kwenye TOZO?
Unasamehe Matrillion ya Makinikia(BARRICK) alafu unakuja kutukata sisi Watanzania TOZO tena bila huruma. Kwahiyo Makampuni ya Kizungu ndio ya kuonewa huruma na kusamehewa kuliko sisi Watanzania?
Ushauri wangu kwa Serikali, iziondoe Tozo kwa Maana hazitunufaishi Watanzania Directly.
Nawasilisha
Kumbe Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina Pesa nyingi sana kiasi cha kwamba waliamua kusamehe deni la Tsh Trilioni 360 za MAKINIKIA na kukubali kulipwa Tsh Bilioni 900.
Sasa Je, Serikali kama iliweza kuacha fedha zote hizo, kwanini leo hii bado wanamg'angania kutukamua kwenye TOZO?
Unasamehe Matrillion ya Makinikia(BARRICK) alafu unakuja kutukata sisi Watanzania TOZO tena bila huruma. Kwahiyo Makampuni ya Kizungu ndio ya kuonewa huruma na kusamehewa kuliko sisi Watanzania?
Ushauri wangu kwa Serikali, iziondoe Tozo kwa Maana hazitunufaishi Watanzania Directly.
Nawasilisha