Kumbe Rais wa Uganda Museveni anaitaka Kagera?

Kumbe Rais wa Uganda Museveni anaitaka Kagera?

Mtanzania2020

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2020
Posts
1,022
Reaction score
2,276
1001338615.jpg

Kuna taarifa ya muda mrefu kwamba Museven ana shamba la Ng'ombe ( ranch ) ndani ya Tanzania kwenye maeneo hayo ni shamba kubwa sana

inaonekana ameingia Tamaa anataka kuchukua eneo ili hao ng'ombe wake wawe uganda

Kuingia kwa hili jeshi sioni tena JWTZ wakaweza pambana na kuwatoa maana vifaa walivyoongia navyo ni mpaka kudongua ndege kama ukisoma ile report ya ndugu yetu kutoka uganda

sasa inaezekana vipi watu walikuwa wanakuja kusaidia maandamano wakaje na vifaa vya kudungua ndege?

tuna uhakika gani mpaka sasa wajaweka mabomu kwenye majengo muhimu kama tishio dhidi yetu tukitaka kupambana nao maana wamezunguka Dar hapo umeme umekiwa umezimwa na internet hakuna ina maana hakuna CCTV wala communication nyingine walizima mpaka simu za kawaida

ukishambua vizuri unaona kabisa tumeshaingizwa mjini, na taarifa ile inasema wamejenga kambi ya waya hapo kagera

wasichosema je wanakwenda kufukuza ndugu zetu kuondoka au wanawachukua kuwa waganda

Hii ni issue ile ile ambayo Watanzania tulimwaga damu kupambana na Iddi Amini leo tuna wageni wanaongoza nchi wametuuza

Ndio maana mimi binafsi kwa sasa ukiniuliza kuhusu huu Muungano nitasema hapana kila mtu aendelee na maisha yake bila Muungano na kila mtu arudi kwao

it is enough
 
View attachment 3500822
Kuna taarifa ya muda mrefu kwamba Museven ana shamba la Ng'ombe ( ranch ) ndani ya Tanzania kwenye maeneo hayo ni shamba kubwa sana

inaonekana ameingia Tamaa anataka kuchukua eneo ili hao ng'ombe wake wawe uganda

Kuingia kwa hili jeshi sioni tena JWTZ wakaweza pambana na kuwatoa maana vifaa walivyoongia navyo ni mpaka kudongua ndege kama ukisoma ile report ya ndugu yetu kutoka uganda

sasa inaezekana vipi watu walikuwa wanakuja kusaidia maandamano wakaje na vifaa vya kudungua ndege?

tuna uhakika gani mpaka sasa wajaweka mabomu kwenye majengo muhimu kama tishio dhidi yetu tukitaka kupambana nao maana wamezunguka Dar hapo umeme umekiwa umezimwa na internet hakuna ina maana hakuna CCTV wala communication nyingine walizima mpaka simu za kawaida

ukishambua vizuri unaona kabisa tumeshaingizwa mjini, na taarifa ile inasema wamejenga kambi ya waya hapo kagera

wasichosema je wanakwenda kufukuza ndugu zetu kuondoka au wanawachukua kuwa waganda

Hii ni issue ile ile ambayo Watanzania tulimwaga damu kupambana na Iddi Amini leo tuna wageni wanaongoza nchi wametuuza

Ndio maana mimi binafsi kwa sasa ukiniuliza kuhusu huu Muungano nitasema hapana kila mtu aendelee na maisha yake bila Muungano na kila mtu arudi kwao

it is enough
Thread 'Kumekuwepo na Tishio la Kiusalama linalotokana na Mgogoro wa Mpaka Kati ya Tanzania na Uganda' Kumekuwepo na Tishio la Kiusalama linalotokana na Mgogoro wa Mpaka Kati ya Tanzania na Uganda
 
View attachment 3500822
Kuna taarifa ya muda mrefu kwamba Museven ana shamba la Ng'ombe ( ranch ) ndani ya Tanzania kwenye maeneo hayo ni shamba kubwa sana

inaonekana ameingia Tamaa anataka kuchukua eneo ili hao ng'ombe wake wawe uganda

Kuingia kwa hili jeshi sioni tena JWTZ wakaweza pambana na kuwatoa maana vifaa walivyoongia navyo ni mpaka kudongua ndege kama ukisoma ile report ya ndugu yetu kutoka uganda

sasa inaezekana vipi watu walikuwa wanakuja kusaidia maandamano wakaje na vifaa vya kudungua ndege?

tuna uhakika gani mpaka sasa wajaweka mabomu kwenye majengo muhimu kama tishio dhidi yetu tukitaka kupambana nao maana wamezunguka Dar hapo umeme umekiwa umezimwa na internet hakuna ina maana hakuna CCTV wala communication nyingine walizima mpaka simu za kawaida

ukishambua vizuri unaona kabisa tumeshaingizwa mjini, na taarifa ile inasema wamejenga kambi ya waya hapo kagera

wasichosema je wanakwenda kufukuza ndugu zetu kuondoka au wanawachukua kuwa waganda

Hii ni issue ile ile ambayo Watanzania tulimwaga damu kupambana na Iddi Amini leo tuna wageni wanaongoza nchi wametuuza

Ndio maana mimi binafsi kwa sasa ukiniuliza kuhusu huu Muungano nitasema hapana kila mtu aendelee na maisha yake bila Muungano na kila mtu arudi kwao

it is enough
Unajuaje kama na nasisi tunataka kuwa UG.
 
Nadhani hii ni ki mkakati ili kuua tuhuma zilizovuma hivi Karibuni...!!!

Pia wanataka kutumia fake tension kufanya kama viongozi wa Ulaya wanavyowafanyia wananchi wao...na uvamizi fake wa Russian ili wasitumie Hazina wanavyotaka!!!

Nawaza yawezekana sipo sahihi.
 
Kama hili lina ukweli basi hatuna jeshi tuna kikundi cha vigodoro km vile vya mbagala
Si tuliambiwa kwenye vyombo vyetu vya maamuzi serikalini kuna watu kutoka nje ya mataifa yetu tena wana vyeo vikubwa
 
wanawatoa kwenye focus ya kudili na adui wa ndani wanataka mdili na adui wa nje hakuna kitu kama icho propaganda za Kitoto
 
SAMIA na genge lake wasichokijua ama wanajua ni kwamba huyu Museven na paulo kagame hawa jamaa malengo yao na tamaa yao ni kupanua mipaka ya nchi zao na huenda ni kuja kuitengeneza nchi moja hapo baadae na mipango yao inaendelea kwa mbinu zote.

Si TANZANIA tu hata hiyo kenya ni sehemu ya tatizo, kibaya zaidi hawa watu wana back-up ya mataifa makubwa ambayo dream yao ina malengo sawa na akina museven+kagame, ndiomana hata wakifanya unyama na udicteta wa aina gani huoni mataifa ya magharibi yakiwabwekea.

Tanzania kwa sasa inaweza kuwa ktk tishio la wageni kuja kumega ardhi ya nchi sababu ya hii migawanyiko tuliyo nayo, na nina uhakika baadhi ya watu wanaweza kutowa sapoti kwa wageni kutimiza agenda zao, ikiwa kulipa kisasi cha maumivu waliyosababishiwa.
Kama nchi tuna tatizo lakini ndio hivyo wanasiasa washenzi wa hii nchi hawapendi tuyaongelee haya mambo.

Waarabu wako kasi sana kuhakikisha chumi zao hazidondoki kwa namna yoyote ile, wanakuja kimbinu baada ya kujifunza mbinu za mabeberu wa ulaya+marekani kuhusu ukoloni, nao wanakuja kasi kuzisaka na kuzumiliki resources za Afrika.

East Afrika ni target ya hawa mabwana huku wakiwa backed up na hao hao mabeberu ambao wanahofia chumi zao kudondoka baada ya makoloni yao ya awali kuwaponyoka.

NARUDIA TENA, East Afrika kama hawa wanasiasa wana ndoto na maono ya kukilinda kizazi kijacho basi huu ni wakati mgumu wa kuwa makini na kufanya mambo kwa akili sana maana adui halali, Afrika ina mali.

Tunayaona maeneo mengi tayari wageni wanayamiliki indirect way kupitia mikataba ya kihuni/ hati miliki za kihuni, after 10years nina uhakika baadhi ya maeneo nchi hii yatakuwa mali halali ya Rwanda, UAE, Saudia, Qatar, China na Babalao israel, suala la muda tu maana hawa wote wana hii mihuri ya hati miliki
 
Propaganda uchwara.

#9D tunatoka.
Ninyi ndio wapuuzi ambao mmsababisha kama taifa tumefika hapa sababu ya kupuuza mambo ambayo yako beyond uwezo wenu, kama huna taarifa na jambo jitahidi kuomba ueleweshwe na sio kuonesha kiwango chako cha upumbavu
 
View attachment 3500822
Kuna taarifa ya muda mrefu kwamba Museven ana shamba la Ng'ombe ( ranch ) ndani ya Tanzania kwenye maeneo hayo ni shamba kubwa sana

inaonekana ameingia Tamaa anataka kuchukua eneo ili hao ng'ombe wake wawe uganda

Kuingia kwa hili jeshi sioni tena JWTZ wakaweza pambana na kuwatoa maana vifaa walivyoongia navyo ni mpaka kudongua ndege kama ukisoma ile report ya ndugu yetu kutoka uganda

sasa inaezekana vipi watu walikuwa wanakuja kusaidia maandamano wakaje na vifaa vya kudungua ndege?

tuna uhakika gani mpaka sasa wajaweka mabomu kwenye majengo muhimu kama tishio dhidi yetu tukitaka kupambana nao maana wamezunguka Dar hapo umeme umekiwa umezimwa na internet hakuna ina maana hakuna CCTV wala communication nyingine walizima mpaka simu za kawaida

ukishambua vizuri unaona kabisa tumeshaingizwa mjini, na taarifa ile inasema wamejenga kambi ya waya hapo kagera

wasichosema je wanakwenda kufukuza ndugu zetu kuondoka au wanawachukua kuwa waganda

Hii ni issue ile ile ambayo Watanzania tulimwaga damu kupambana na Iddi Amini leo tuna wageni wanaongoza nchi wametuuza

Ndio maana mimi binafsi kwa sasa ukiniuliza kuhusu huu Muungano nitasema hapana kila mtu aendelee na maisha yake bila Muungano na kila mtu arudi kwao

it is enough
Kama ana ubavu, sababu, nia, na uwezo aje tumtie adabu hata miiimba japo kizee. Amesahau tulichomfanyia Idi Amin na kumtengeneza yeye siyo?
 
Ninyi ndio wapuuzi ambao mmsababisha kama taifa tumefika hapa sababu ya kupuuza mambo ambayo yako beyond uwezo wenu, kama huna taarifa na jambo jitahidi kuomba ueleweshwe na sio kuonesha kiwango chako cha upumbavu
Ntolee upumbavu wako.

#9D tunakiwasha.
 
Back
Top Bottom