Kumbe Rais Paul Kagame nae YANGA damu!

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
KAGAME ASHEREHEKEA TAJI NA YANGA ikulu ya Rwanda



Rais Kagame akizungumza na Mwenyekiti wa Yanga, Manji





Rais Kagame akizungumza na Yanga



Sief Ahmad Magari akimkabidhi jezi ya Yanga Rais Kagame mbele ya Mama Fatma Karume



Mwenyekiti wa Yanga, Yussufr Manji akizungumza kitu mbele ya rais Kagame




Rais Kagame akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Yanga, Mama Fatma Karume



Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akiwa na kocha Saintfiet, wakimkabidhi Kombe Rais Kagame


 
Rais Kagame shabiki wa Yanga kama alivyo kwa Arsenal...??Subirini muanze kufungwa:Atawapendekezea kocha afukuzwe kama alivopata pendekeza Wenger aondolewel!ha
 
Kwa mtazamo wa kuipenda Yanga...JK na Kagame wanakuwa kundi moja ila si kwa utendaji wao maana Kagame hamkubali JK kabisa....anashangaa nchi yenye neema ya maziwa na asali anashinda ulaya kuomba omba...ana wish angekuwa yeye rais wa Tanzania atuonyeshe nini maana yake.......mialiko mingi ya kuja Tanzania anakuja Waziri Mkuu wake..yeye haji!!
 
Rangi zake ni kijani na njano. sasa ulidhani atachagua timu za rangi gani??? Hata mkuu wa kaya na wateule wake wote ni rangi hiyo hiyo
 
Kweli .. list ya ''mashabiki makini'' ni ndefu. Manji (umakini ktk wizi & ufisadi), Kagame (umakini ktk ukandamizaji), JK (umakini ktk kuvumbua & kukwepa maamuzi magumu...) wote Y

rage , pinda na lowassa makini kwenye nini? Make hao ndo simba damu.
 
Hata Matola ni Yanga damu lakini inabidi ufanyike mchakato wa kubadili hii mirangi ya kijana na njano, najisia hata kutapika, sivai kabisa mimi jezi za Yanga.
 
Hata Matola ni Yanga damu lakini inabidi ufanyike mchakato wa kubadili hii mirangi ya kijana na njano, najisia hata kutapika, sivai kabisa mimi jezi za Yanga.

Acha kuchanganya kila kitu na siasa kijana
 
Yanga ndio mpango mzima kama haujawa mwanachama usichelewe,jiunge sasa lakn tatizo zile rangi za Manjano ikibidi ufanyike mchakato wa kuziondoa
 
kwa kikosi cha simba nilicho kiona jana, Yanga pigeni makelele lakini tukikutana mtajuata 1. Kaseja 2. Cholo 3 Amiri 4.Keitta 5. Pascol 6.Kazimoto 7. Ngassa 8. Haruna 9. Daniel Akuffo 10. Sunzu 11. Okwi...
 
kwa kikosi cha simba nilicho kiona jana, Yanga pigeni makelele lakini tukikutana mtajuata 1. Kaseja 2. Cholo 3 Amiri 4.Keitta 5. Pascol 6.Kazimoto 7. Ngassa 8. Haruna 9. Daniel Akuffo 10. Sunzu 11. Okwi...

Ha ha ha ha,kabla ya Kagame mlikuwa mkitupangia list hivyohivyo sijui 1.Kaseja 2. Kapombe 3. Maftah 4. Nyoso 5. Lino Mosombo 6. Salim Kinje 7. Kazimoto 8. Kanu Mbiyavanga 9. Sunzu 10. Boban sijui Danny Mrwanda 11. Kigi sijui Mussa Mudde.
Matokeo yake baada ya mashindano kuisha hao waliokuwa bolded mkawatimua licha ya kuwa tayari mlikuwa mmeshatumia pesa nyingi sana kwao....Akuffo mbele ya Twite unategemea nini,huyo Sunzu wenu mimi natabiri mwisho wake kuichezea Simba umeshawadia,dirisha dogo kwaheri.
 
Back
Top Bottom