Kumbe Prof. Mruma si mzalendo kama wengi wanavyodhani

Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Hii ni vita kama vita nyingine. Imegusa wengi akiwemo mleta bandiko. Hii pia inafanana na ile ya kutaja watu laivu laivu bila chenga iligusa wengi sana mpaka ikazalisha misamiati mipya kama Bashite =Zero. Sitashangaa kuona watu wakianza kuuliza vyeti vya Prof.
 
Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Unamfahamu profile ya Prof. MRUMA? au munaendeshwa na mihemko ya kisiasa, inasikitisha sana kama kuna mtanzania anweza kulaumu report ya MRUMA, huwezi kuacha Kuisema vibaya repoti hiyo kama:
1.miongoni mwa uchumi wako ulikuwa una TEGEMEA hayo makinikia ya wizi.

2.Unanufaika kupitia kwa fisadi wa migodi.

3. Una nia mbaya kwa watanzania wa hali chini .
 
Kubali ukatae watu tunaoijua sekta tunashangaa haya majibu wametoa wapi kuna mawili hapa either walikosea kufanya assay au walipata majibu sahihi wakapika ripoti
Na km mnaijua Sekta umewahi kushangaa ile exray scan kutoona madini lakini wataam mnaojua sekta mkaidhinisha na kujaza viwango yatozwe kodi?? Huu ni wizi ambao ninyi wa sekta mmekua mkishirikiana na wawekezaji kuibia Taifa huku pia mkidanganya share holder's wa hayo mkampuni. Sasa Magufuli kawashika pabaya mnahangaika kuibonoa ripot ya kamati ya kwanza ili mpotoshe unaana wa kamati ya pili.
 
Wewe ni mnafiki Sana, na ni mamluki mkubwa kabisa wa wazungu.
Huko mwadui kuna tume yoyote iliundwa kiasi kwamba Prof Mruma akaibeba Mwadui? ulitaka afanyeje Prof? kwani alikuwa rais kipindi hicho? Hivi vijisenti mnavyohongwa na hayo majambazi zitawatokea puani.
Hauma mtu aliyehongwa kama una akili timamu utapata ukweli bila hata kwenda maabara ukisoma hiyo ripoti, kusema uongo ni kazi mkuu lazima utajikwa tu na ukweli utaeleweka
 
Prof. Mruma mtoto wa mjini halafu mwenyeji wa kule ambao wanasema rais hawapendi. Huyu Prof kaona isiwe tabu kampa rais kile anapenda kusikia ili ajiharibie mwenyewe. Na mkuu badala ya kutafakari kwa busara amelinywa liripoti zima zima kama lilivyo. Usichezee KLM
 
Kwenye utata kama huu inabidi methodology iliyotumika iangaliwe kwa undani-bahati mbaya haya nategemea yako kwenye report na viambatanishi vyake ambavyo sidhani kama vimekwisha tolewa kwa public. Ndo maana hata ACACIA hawawezi kukoment kwa undani zaidi ya kusema matokeo hayo hayaendani na historical data walio kuwa nayo. Of course wengi wetu pia hatujui methodology inayotumiwa na ACACIA na agents wa serikali kudetermine mna madini kiasi gani kwwenye hizo concentrates. Unless kama kuna lililo nipita. Kama pande zote mbili zinafanya kazi in good-faith watajadiliana na kukubaliana njia ya kucheck kuna madini kiasi gani kwenye makinikia hayo. Kama hawakubaliani sheria na mikataba vitaamua.
Umenena mkuu uzuri sayansi iko wazi wakae wadau wote wafanye hiyo assay then tutarudi na majibu ambayo watu watashindwa hata kukuangalia usoni na uprofesa wao
 
Kwenye utata kama huu inabidi methodology iliyotumika iangaliwe kwa undani-bahati mbaya haya nategemea yako kwenye report na viambatanishi vyake ambavyo sidhani kama vimekwisha tolewa kwa public. Ndo maana hata ACACIA hawawezi kukoment kwa undani zaidi ya kusema matokeo hayo hayaendani na historical data walio kuwa nayo. Of course wengi wetu pia hatujui methodology inayotumiwa na ACACIA na agents wa serikali kudetermine mna madini kiasi gani kwwenye hizo concentrates. Unless kama kuna lililo nipita. Kama pande zote mbili zinafanya kazi in good-faith watajadiliana na kukubaliana njia ya kucheck kuna madini kiasi gani kwenye makinikia hayo. Kama hawakubaliani sheria na mikataba vitaamua.
Kwa vyovyote Acacia jibu wanalo maana hawaishii kupima sampuli tu wamekuwa wakiuza madini halisi kwenye makinikia tangu mwaka 2000. Hivyo wakisema wanapingana na taarifa ya tume wako seriuos. Tume iliishia kupima tu sampuli. Kama wanajiamini wasindikize hayo makontena kwenye mtambo wakaone end product. Hapo ukweli utajulikana
 
Umefungua Id Jana kuja kubwabwaja hapa

Mfa maji haishi kutapa tapa Mruma na timu yake wamefanya tafiti na kupima lab

Hebu wewe tupe report yako uliyoifanyia kazi ,

Mmeshikwa pagumu na bado mtafungua id mpya kila siku
Huyu ana ID mbili ni juu ya JF kumtambua.
 
Siku wakianza kuwaruhusu kusafirisha hayo makinikia, nitaomba tbc waonyeshe mubashara
 
Na km mnaijua Sekta umewahi kushangaa ile exray scan kutoona madini lakini wataam mnaojua sekta mkaidhinisha na kujaza viwango yatozwe kodi?? Huu ni wizi ambao ninyi wa sekta mmekua mkishirikiana na wawekezaji kuibia Taifa huku pia mkidanganya share holder's wa hayo mkampuni. Sasa Magufuli kawashika pabaya mnahangaika kuibonoa ripot ya kamati ya kwanza ili mpotoshe unaana wa kamati ya pili.
So sad 4 u, ripoti ingesomwa siku ya fools day naona ndo ungeamini umedanganywa. Shida moja hamjishughulishi hata kugoogle utabaki kukaa na ujinga wako.
 
Kwa vyovyote Acacia jibu wanalo maana hawaishii kupima sampuli tu wamekuwa wakiuza madini halisi kwenye makinikia tangu mwaka 2000. Hivyo wakisema wanapingana na taarifa ya tume wako seriuos. Tume iliishia kupima tu sampuli. Kama wanajiamini wasindikize hayo makontena kwenye mtambo wakaone end product. Hapo ukweli utajulikana
Kisayansi kupima sampuli inakubalika kwa hiyo wangeweza kulinganisha njia zilizotumika na majibu ya tume na yale ya analyst wa mchimbaji. Njia ya mwisho kabisa ndo hiyo unayosema watafute smelter anaeaminika na serikali afanye uchenjuaji tuone ni kiasi gani kitatoka.
 
Umefungua Id Jana kuja kubwabwaja hapa

Mfa maji haishi kutapa tapa Mruma na timu yake wamefanya tafiti na kupima lab

Hebu wewe tupe report yako uliyoifanyia kazi ,

Mmeshikwa pagumu na bado mtafungua id mpya kila siku
pamoja na mimi kutokuwa na Lab Results bado ile report ya Mruma inakosa credibility. Haiwezi kuaminiwa na kuwa chanzo reliable information ya kufanyia maamuzi ya nchi!
 
Bila hata kungoja tume huru, facts zinawaumbua. Inawezekanaje kontena 277 za makinikia zitoe tani 15 za dhahabu? Kama ndio, kwa nini mmiliki wake asafirishe tani hizo za dhahabu kwa barabara tena bila ulinzi wakati gold bars zinaenda kwa ndege tena baada ya kulipa bima kubwa? Kwa nini makinikia yenye dhahabu nyingi yanamwagwa nje mgodini wakati gold bars zinafungiwa gold room kwa ulinzi mkali? Kwa kweli Mruma alimdanganya JPM period.
inawezekanaje mchanga kuchangua 45% ya mapato ya acacia?
 
Kisayansi kupima sampuli inakubalika kwa hiyo wangeweza kulinganisha njia zilizotumika na majibu ya tume na yale ya analyst wa mchimbaji. Njia ya mwisho kabisa ndo hiyo unayosema watafute smelter anaeaminika na serikali afanye uchenjuaji tuone ni kiasi gani kitatoka.
Kweli mkuu, inasikitisha maprofesa kudanganya watanzania kwa kiasi kile, ..tx shame kwa academicians wa kitanzania n namsifu sana muhongo na ntalikwa kukataa huu uongo
 
Huyu profesa ambaye ripoti yake ya Magumashi imeleta maswali mengi, amekuwa kwenye bodi ya wakurugenzi ya Mgodi wa mwadui lakini mgodi huu umekuwa unatuibia kabla hatujapata uhuru, na ukiangalia maamuzi wanayofanya kama bodi ni wa kinyonyaji ambapo serikali in share 25% . Na kama sijakosea yeye ni mojawapo wa member wa bodi wanaoiwakilisha serikali kwenye mgodi wa MWADUI, his credibility ni questionable...
Chama chakavu kila mtu ni mwizi wanazidiana viwango 2
 
Back
Top Bottom