Niaje bandugu, dunia imekwisha sasa kuna rafiki yangu amechanganyikiwa, baada ya kugundua mrembo wake night uenda kiwanja fulani hapa Dar es Salaam kuuza, mtoto mkali sana na anapiga kazi kampuni fulani ya simu, sasa najiuliza mtoto kama huyu ukimuona huwezi amin.
Wameishi wote miaka 2 katika mahusiano na jamaa huwa anapiga kavu, jamani kwa hali ilivyo sasa usije ukaopoa gumba kwa mtaa ukaenda peku wengi wao huwa watu wa viunzi night.
Kila mtoto wa kike hiyo ndio biashara anayoikimbilia why, jamaa kadata embu tusaidiane mawazo namna ya kumshauri na kumtoa stress, demu kakiri kaanza muda hii kazi but anadai anampenda mshikaji.
Wameishi wote miaka 2 katika mahusiano na jamaa huwa anapiga kavu, jamani kwa hali ilivyo sasa usije ukaopoa gumba kwa mtaa ukaenda peku wengi wao huwa watu wa viunzi night.
Kila mtoto wa kike hiyo ndio biashara anayoikimbilia why, jamaa kadata embu tusaidiane mawazo namna ya kumshauri na kumtoa stress, demu kakiri kaanza muda hii kazi but anadai anampenda mshikaji.