Kumbe ni wife wa jamaa!

Kumbe ni wife wa jamaa!

Hebu declare interest yako kwanza, unachohitaji ni nini haswa? Hiyo mimba? Unnahitaji isijulikane au, yaani ni nini hasa wewe unachohitaji.

Kwa jicho langu nimeona kuwa hiyo mimba unaihitaji na unahitaji kuzaa na huyo dada, sasa wewe cha kufanya kama ulikuwa kimya endelea kuwa kimya
Thanx wazo lishaingia mzigoni jombaa
 
Kwa mbaali ni mashairi ya wimbo fulani hvi kama sikosei.. (Ila nimeusahau jina na msanii pia).
 
Jiandae kufumuliwa linda....hamna namna nyingine kipindi unapamp hukuja kuomba ushauri
 
Chai za kitoto...Mwanamke hawesi kuropoka hovyo kama mimba ni yako akiwa ameolewa.MTU mwenyewe kapuku.Hizi chai muda mwingine ziwe za maziwa basi ahghaha
 
Endeleza tu kitakachokupata ulete mrejesho
 
Kufumua ukiwa la tano sifa sio? Kweli sio age yangu
Ndio maana likafeli wenzake wakaendelea

Hapa haijulikani linataka nini kushauriwa

Ukilichunguza sana hili lijitu linavyojibu huko juu utaelewa kama sio shoga ni lijitu la ajabu ajabu limekuja kuchafua wanaume
 
Ndio maana likafeli wenzake wakaendelea

Hapa haijulikani linataka nini kushauriwa

Ukilichunguza sana hili lijitu linavyojibu huko juu utaelewa kama sio shoga ni lijitu la ajabu ajabu limekuja kuchafua wanaume
Mjomba haya mambo kama huyajui kaa pembeni wanishauri wanaume wenzangu
 
Back
Top Bottom