Kumbe ni wife wa jamaa!

Kumbe ni wife wa jamaa!

nina nchi sita

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
269
Reaction score
146
Yaani wakati tuko mbeya alikuwa demu wangu tukiwa la saba, ila mi nikafeli ye akaenda kidato

Sema bado nikawa nikipata chance napiga pampu kama ida. Mziki ni alipoenda advance ndio tukapoteana mazima

Sa mwaka jana mwishoni nakutana nae songea mi hali taght ila ye kaoga, sema hakujali mi nikawa naendelea kupakua zigo
Sasa leo ndio pita pita insta hivi nakuta mchizi ambae ni rafiki angu amempost eti ni mkewe!!! Nikashangaaaa

namuuliza mchumba ananambia ni kweli mchizi ni mmewe, afu anaongeza kuwa ana ujauzito na ana uhakika ni wangu..!!!

yaani hapa nilipo mambo hayaendi nimepagawa afu ukizingatia mwenye mke ni mchizi wangu
Embu nisaidieni kijiushauri chochote cha kunisaidia
 
Yaani wakati tuko mbeya alikuwa demu wangu tukiwa la saba, ila mi nikafeli ye akaenda kidato

Sema bado nikawa nikipata chance napiga pampu kama ida. Mziki ni alipoenda advance ndio tukapoteana mazima

Sa mwaka jana mwishoni nakutana nae songea mi hali taght ila ye kaoga, sema hakujali mi nikawa naendelea kupakua zigo
Sasa leo ndio pita pita insta hivi nakuta mchizi ambae ni rafiki angu amempost eti ni mkewe!!! Nikashangaaaa

namuuliza mchumba ananambia ni kweli mchizi ni mmewe, afu anaongeza kuwa ana ujauzito na ana uhakika ni wangu..!!!

yaani hapa nilipo mambo hayaendi nimepagawa afu ukizingatia mwenye mke ni mchizi wangu
Embu nisaidieni kijiushauri chochote cha kunisaidia
Hahahaha, daahh ungeleta huu uzi kabla ya hayo yootee
 
Yaani wakati tuko mbeya alikuwa demu wangu tukiwa la saba, ila mi nikafeli ye akaenda kidato

Sema bado nikawa nikipata chance napiga pampu kama ida. Mziki ni alipoenda advance ndio tukapoteana mazima

Sa mwaka jana mwishoni nakutana nae songea mi hali taght ila ye kaoga, sema hakujali mi nikawa naendelea kupakua zigo
Sasa leo ndio pita pita insta hivi nakuta mchizi ambae ni rafiki angu amempost eti ni mkewe!!! Nikashangaaaa

namuuliza mchumba ananambia ni kweli mchizi ni mmewe, afu anaongeza kuwa ana ujauzito na ana uhakika ni wangu..!!!

yaani hapa nilipo mambo hayaendi nimepagawa afu ukizingatia mwenye mke ni mchizi wangu
Embu nisaidieni kijiushauri chochote cha kunisaidia
Nenda ukachizike nae, story yako haijanoga
 
Se


Nikae kimyaa yaani kana cjui sio
Hebu declare interest yako kwanza, unachohitaji ni nini haswa? Hiyo mimba? Unnahitaji isijulikane au, yaani ni nini hasa wewe unachohitaji.

Kwa jicho langu nimeona kuwa hiyo mimba unaihitaji na unahitaji kuzaa na huyo dada, sasa wewe cha kufanya kama ulikuwa kimya endelea kuwa kimya
 
Vunga tu ...unagwaya nini mtoto wa kiume...wanaume hatulalami bana...we piga kimya kama sio wewe..
 
Sasa ushauri wa nini unataka? Wewe utaoa mwanamke ambae hapampiwa? Utampata wapi?
Mkiwa darasa la saba alikuwa demu wako!!!! Lasaba una demu?
 
Sasa ushauri wa nini unataka? Wewe utaoa mwanamke ambae hapampiwa? Utampata wapi?
Mkiwa darasa la saba alikuwa demu wako!!!! Lasaba una demu?
Mi sio age yako jomba enzi yetu la tano MTU unafumua watu tayari. Afu andika vizuri ueleweke
 
Back
Top Bottom