Sote tunashuhudia jinsi makamanda wa jeshi la Polisi mikoani wanavyokamata kete za madawa ya kulevya ikiwemo bangi, hii itaokoa nguvu kazi kubwa ya Taifa ambayo ingepotea, the initiator and the hero behind ni Mh Makonda, yeye ndo amekuwa na uthubutu wa kumfunga paka kengere, yeye ndo amesababisha hata ukamteua kamishina wa kupambana na dawa za kulevya ambaye tuna imani nae na ataendeleza vita hii Nchi nzima,hivyo kutokana na uzalendo huu Mh Rais endelea kumwamini Mh Makonda ikibidi umpandishe cheo bila kujali kelele za wakereketwa wa vyeti feki ambapo kimsingi drug lords ndo wameinjia yote hayo, hata kama ni kweli kwamba Mh makonda ana vyeti feki basi kwa kuendelea kumwamini ni zawadi tosha kwake na hii itakuwa umejitengenezea legacy na historia itakukumbuka, at least for the sake of our youth,( All animals are equal but other are more important than others-Animal Farm).Ukimtumbua Mh makonda utakuwa umewapa ushindi Drug lords wasio na huruma kwa vijana wetu juu ya madhara ya madawa ya kulevya, ,hawa drug lords wasikufundishe nini cha kufanya, uko hapo kutokana na matakwa ya Katiba, urais wako hauna ubia na mtu.