Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
propaganda za kijinga hazitushawishi.
tunataka tanganyika yetu.
tunataka tanganyika yetu.
Peter Kalihose > TANURU LA FIKRA Nimezipata kwenye chanzo cha kuaminika: Sultan
Sayyid Jamshid bin Said yupo nyuma ya UKAWA
na baadhi ya wanachama wa UKAWA kutoka
Bara wameanza kushtukia kwamba wanatumika
kiaina na Jussa na Maalim kutimiza ndoto zao za
kumrejesha Zanzibar mwana Mfalme huyo wa Oman ambaye kwa sasa anaishi Uingereza tangu
alipotimka Zanzibar 12 Januari, 1964. Miaka ya
karibuni, wakati mchakato wa Katiba unanukia
Maalim alifanya safari kadhaa nchini Uingereza
ambapo alikutana mara kadhaa na Sultan (kwa
msaada wa wanausalama wa nchi flani) ambapo Sultan alikubaliana na Maalim kuwezesha
(kifedha na ushauri) mchakato mzima wa
kuuvunja Muungano ili kuidhoofisha Zanzibar na
kisha Oman itachukua hatamu ya kuipa kila kitu
na kupitia hapo Sultan atatua ndani ili kuendelea
kutawala na kubadirisha mifumo yote ya kiutawala na kuielekeza Zanzibar kwenye mfumo
wa Arabuni. Hiyo ni Summary ya kitu kizima
ambacho kipo hapa na na documents za kutosha
na akaunti za benki zinazoingizia pesa kwenye
benki moja ya nchi jirani kutokea kwa sultan....
Interehamwe wameshikwa pabaya mwaka huu! Sultani hewa huyo aje Zenji karne hii ya 21? baba nenda ktk bunge lenu la ki Interehamwe halafu urudi tena na karata nyingine hii haina mashiko!
Kama kweli itakua vizur sana kwani tanganyika inai'gan'gania znz ya nini????kwani kama wazanzibar twataka utawala wa kiislam nyie chepi chawauma????wananchi wataka afya njema,elim bora,miundo mbinu imara na maisha bora kwa ujumla wake sasa kama Muungano hauna faida wala manufaa yo moja kwa moja kwa wananchi wanini sie???????
propaganda za kijinga hazitushawishi.
tunataka tanganyika yetu.
kweli niliiona hiyi interview alitamka hvyo anayebisha aingie you tube.
Kama wewe ulivyofukuzwa umods?Akina Lissu wanapelekeshwa, watajishtukia wako shimoni!
Naomba chanzo rasmi cha habari hii kama unasema kweli?plz
Peter Kalihose > TANURU LA FIKRA Nimezipata kwenye chanzo cha kuaminika: Sultan
Sayyid Jamshid bin Said yupo nyuma ya UKAWA
na baadhi ya wanachama wa UKAWA kutoka
Bara wameanza kushtukia kwamba wanatumika
kiaina na Jussa na Maalim kutimiza ndoto zao za
kumrejesha Zanzibar mwana Mfalme huyo wa Oman ambaye kwa sasa anaishi Uingereza tangu
alipotimka Zanzibar 12 Januari, 1964. Miaka ya
karibuni, wakati mchakato wa Katiba unanukia
Maalim alifanya safari kadhaa nchini Uingereza
ambapo alikutana mara kadhaa na Sultan (kwa
msaada wa wanausalama wa nchi flani) ambapo Sultan alikubaliana na Maalim kuwezesha
(kifedha na ushauri) mchakato mzima wa
kuuvunja Muungano ili kuidhoofisha Zanzibar na
kisha Oman itachukua hatamu ya kuipa kila kitu
na kupitia hapo Sultan atatua ndani ili kuendelea
kutawala na kubadirisha mifumo yote ya kiutawala na kuielekeza Zanzibar kwenye mfumo
wa Arabuni. Hiyo ni Summary ya kitu kizima
ambacho kipo hapa na na documents za kutosha
na akaunti za benki zinazoingizia pesa kwenye
benki moja ya nchi jirani kutokea kwa sultan....
MFALME POPE NA KANISA LAKE YEYE HAYUPO CHINI YA MPANGO WA CCM WA SERIKALI MBILI KUELEKEA MOJA ??
Peter Kalihose > TANURU LA FIKRA Nimezipata kwenye chanzo cha kuaminika: Sultan
Sayyid Jamshid bin Said yupo nyuma ya UKAWA
na baadhi ya wanachama wa UKAWA kutoka
Bara wameanza kushtukia kwamba wanatumika
kiaina na Jussa na Maalim kutimiza ndoto zao za
kumrejesha Zanzibar mwana Mfalme huyo wa Oman ambaye kwa sasa anaishi Uingereza tangu
alipotimka Zanzibar 12 Januari, 1964. Miaka ya
karibuni, wakati mchakato wa Katiba unanukia
Maalim alifanya safari kadhaa nchini Uingereza
ambapo alikutana mara kadhaa na Sultan (kwa
msaada wa wanausalama wa nchi flani) ambapo Sultan alikubaliana na Maalim kuwezesha
(kifedha na ushauri) mchakato mzima wa
kuuvunja Muungano ili kuidhoofisha Zanzibar na
kisha Oman itachukua hatamu ya kuipa kila kitu
na kupitia hapo Sultan atatua ndani ili kuendelea
kutawala na kubadirisha mifumo yote ya kiutawala na kuielekeza Zanzibar kwenye mfumo
wa Arabuni. Hiyo ni Summary ya kitu kizima
ambacho kipo hapa na na documents za kutosha
na akaunti za benki zinazoingizia pesa kwenye
benki moja ya nchi jirani kutokea kwa sultan....
mburula we nchi yako na nani?Yaani huyo Sultani aje amege nchi yetu tumwangalie tu? Alete pua akione cha moto!