Bado najiuliza sipati majibu, Hapakuwa na njia za kidiplomasia ambazo zingetumiaka kuzui tusitumbukie kwenye vita ya KAGERA
Unaweza ukafanya mazungumzo ya kidiplomasia na jambazi aliyeivamia nyumba yako akiwa na lengo la kuchukua ulicho nacho au uhai wako.....!!?
But can be multipurpose!Mtu mwenye elimu yako safi, muda wa kuvunja mawe kwa kichwa unaupata wapi?
Kichwa is for thinking and not stones crusher
Bujibuji bwana yaani MTU ni crusher!!! DaaaaMtu mwenye elimu yako safi, muda wa kuvunja mawe kwa kichwa unaupata wapi?
Kichwa is for thinking and not stones crusher
What is division of labour?But can be multipurpose!
Ubunifu wa kutumia rasilimali tulizo nazo,---- kichwa crusher----, thinking kidogo. Nilipokuwa jeshini niliambiwa hapa tumia nguvu, akili acha geitini "kama kawaida ya Jeshi, Mitulinga mingi akili kidogo"! (Ben Kiko)What is division of labour?
Hahaha hah hAaaaUbunifu wa kutumia rasilimali tulizo nazo,---- kichwa crusher----, thinking kidogo. Nilipokuwa jeshini niliambiwa hapa tumia nguvu, akili acha geitini "kama kawaida ya Jeshi, Mitulinga mingi akili kidogo"! (Ben Kiko)
KikulachoChako, Nyerere alisema ili nchi iendelee inahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.
TNZANIA imekosa siasa safi na uongozi bora.
Viongozi wamegeuka miungu, wanataka wananchi tuishi kama mashetani.
Viongozi hawana nia ya dhati ya kulikomboa taifa. Ni aibu waziri wa viwanda kudai ukiwa na vyerehani vinne una miliki kiwanda.
Nchi haina sera za kueleweka za kukuza uchumi.
Wafanyabiashara Wanalia, wakulima Wanalia, wanafunzi Wanalia, wafanyakazi nao WANALIA.
Rais anafurahia mateso ya watu wake, kila mtu anamuona ni mwizi isipokuwa BASHITE na Mrisho Gambo tu.