Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Kwanini mnafanya jambo la nchi kama personal ama family issues?
Unapofail katika jukumu la kitaifa, ukionekana hutoshi mahala kama unajua hilo ni jambo la kitaifa na sio personal basi ni rahisi ukajiuzulu na kuwapa wenzio nafasi wafanye na wao.
Hii mentality ya kujibinafaiahia nchi mpaka mnajibinafsiahia na wananchi wenyewe ni tabia ya ufisadi. Eti jitu linasema , "wananchi wangu wa jimbo la ........"
Ndio huu upuuzi unafanya wasikosolewe hawa watu, kwani mtu kama anakukosoa ndani ya muktadha wa jambo la kitaifa, hajaongelea familia yako wala mme wako ama mke wako, bali kaongelea jinsi ulivyoshindwa kutimiza jukumu la kitaifa, tena hajatumia lugha chafu kabisa, hapo kuna tatizo gani?
Mnajifanya miungu watu sana ndio maana hamtaki kukosolewa, na haya mambo yanatokana na kujigeuzia utawala wa taifa hili kama falme ya familia zenu, wote mlio madarakani ama mnaconnection ama za urafiki wa kifamilia ama za damu zenu kabisa ama za mahusiano yanayofanana na hayo, nchi haiongoozwi kwa merit tena ma ndio maana mnavurunda sana mpaka wwnyewe mnachangamyikiwa.
Mnajuta hata kwann mliichukua nchi, maana inawashinda hivi hivi tunawaona live.
We nchi inaendeshwa kwa kuwaibia wananchi shilingi mia mia kwwnye bando zao, tena bando zenuewe za kimasikini; mtu anatumia buku wikinzima kifurushi sasa ww mdio utegemee kahela hako umege kwwli ili uongoze nchi? Jumba bovu limewaangikia hilo na ule mzimu utawamaliza.
Nchi ilikuwa inaongozwaje bila kuhangaisha wananchi, bila kuwasumbua wenye vijumba vyao vya kupangisha, bila kupanda bei za vyakula, bila kupanda bei za bidhaabalimnali muhimu?
Leo mnataka mtupore raia haki ya kuwakemea , siisi tumekuwa familia zenu, ebo! Hili ni taifa lenye watu wazima na wengine wengi tu tumefuta ujimga na tunayaelewa mambo.
Sasa ile nguvu mliyoiona bungeni katika mkutano huu wa 9 ulioisha kwa taarifa yenu ndio utamaduni wa taifa hili kwa kuanzia hapo, ALICHOFANYA BASHIRU ALLY NI KIWAKUMBUSHA TU.
HUTAKI KUKOSOLEWA ACHIA SERIKALI KAWAONGOZE WANAO, HATA FAMILIA NAYO NI SERIKALI UNAWEZA UKAFANYA UONGOZI WAKO NYUMBANI KWAKO.
Unapofail katika jukumu la kitaifa, ukionekana hutoshi mahala kama unajua hilo ni jambo la kitaifa na sio personal basi ni rahisi ukajiuzulu na kuwapa wenzio nafasi wafanye na wao.
Hii mentality ya kujibinafaiahia nchi mpaka mnajibinafsiahia na wananchi wenyewe ni tabia ya ufisadi. Eti jitu linasema , "wananchi wangu wa jimbo la ........"
Ndio huu upuuzi unafanya wasikosolewe hawa watu, kwani mtu kama anakukosoa ndani ya muktadha wa jambo la kitaifa, hajaongelea familia yako wala mme wako ama mke wako, bali kaongelea jinsi ulivyoshindwa kutimiza jukumu la kitaifa, tena hajatumia lugha chafu kabisa, hapo kuna tatizo gani?
Mnajifanya miungu watu sana ndio maana hamtaki kukosolewa, na haya mambo yanatokana na kujigeuzia utawala wa taifa hili kama falme ya familia zenu, wote mlio madarakani ama mnaconnection ama za urafiki wa kifamilia ama za damu zenu kabisa ama za mahusiano yanayofanana na hayo, nchi haiongoozwi kwa merit tena ma ndio maana mnavurunda sana mpaka wwnyewe mnachangamyikiwa.
Mnajuta hata kwann mliichukua nchi, maana inawashinda hivi hivi tunawaona live.
We nchi inaendeshwa kwa kuwaibia wananchi shilingi mia mia kwwnye bando zao, tena bando zenuewe za kimasikini; mtu anatumia buku wikinzima kifurushi sasa ww mdio utegemee kahela hako umege kwwli ili uongoze nchi? Jumba bovu limewaangikia hilo na ule mzimu utawamaliza.
Nchi ilikuwa inaongozwaje bila kuhangaisha wananchi, bila kuwasumbua wenye vijumba vyao vya kupangisha, bila kupanda bei za vyakula, bila kupanda bei za bidhaabalimnali muhimu?
Leo mnataka mtupore raia haki ya kuwakemea , siisi tumekuwa familia zenu, ebo! Hili ni taifa lenye watu wazima na wengine wengi tu tumefuta ujimga na tunayaelewa mambo.
Sasa ile nguvu mliyoiona bungeni katika mkutano huu wa 9 ulioisha kwa taarifa yenu ndio utamaduni wa taifa hili kwa kuanzia hapo, ALICHOFANYA BASHIRU ALLY NI KIWAKUMBUSHA TU.
HUTAKI KUKOSOLEWA ACHIA SERIKALI KAWAONGOZE WANAO, HATA FAMILIA NAYO NI SERIKALI UNAWEZA UKAFANYA UONGOZI WAKO NYUMBANI KWAKO.