Nape hubadilika kulingana NA mazingira, hali NA upepo uliopo huongea uharo panapo bidi, huongea point kama akiona inafaa. Pia aina ya wadhifa alio nao kwenye chama ndio shida. Ni kama Mc WA sherehe ambae pia huitwa msema chochote. Hujiondoa ufahamu inapobidi NA kujitwika uelewa inapo lazimu
KWA ujumla anajua kuchanga karata vizuri ndio maana anasonga mbele.
Aliongea point kwa kuwa mwezi haukuwa mchanga!
Wawezeshwe na nini? Mashangingi? inamaana anampinga Tingatinga? maana hakuna wanachokosa wafanyakazi wa Serikali... labda anawatetea kuhusu Posho...