Ingawa kweli sms inatia mashaka lakini mkuu kubali kuwa haipo conclusive.
Suppose mpenzi wako na rafiki yake wa kike wana mazoea ya kununuliana bia na kiti moto.
Then demu wako anamtext rafiki yake .."vipi shosti, umeshatoka kazini, mi nshatoka na sina ishu hapa home, tutoke kidogo?"
rafiki anajibu "poa wangu, mi nshatoka...vipi wataka twende kwa Materu?, upo njema?...maana leo ipo ya kukausha wangu, mi wallet tupu, na nilipokupigia mbona hukueleweka?"
Mpenzio anajibu "sorry mi nilitaka tukae tu sehemu for story, mambo flani siko fit leo pole, nilikuwa kwa watu thus sikutaka kukwambia kwa cm"
hapo tatizo lipo wapi? dont jump to conclusion man