Wanaume siku hizi wamesanda sana ni mmoja kwa bahati anayeweza kumkamua demu mpaka ajisikie kashiba; siunajua mtu akishashiba hata lije pilau gani kula hawezi tena
hahaha kweli kabisa mkuu. hata fisi huona mkono unatingishwa anaamini utaanguka
umeibiwa nini mkuu
lakn umewahi kujiuliza sababu zilizompelekea fisi kufuata mkono akidhan utadondoka??
Ktk maisha ya mwanzo ya fisi kuna vitu aliviona na akafanikiwa na ndio maana anaamin mkono utadondoka
daaaah! hii kitu ndo inanipa shida sana juu ya binadam nani wa kumwamin!
cjui dunia ya sasa imekuaje na ya kesho itakuwaje na maisha ndo yanazid tutengenezea mapenz ya mbali!!
MUNGU TUNAHITAJI REHEMA ZAKO
Amini mungu wa mbinguni kasikia ombi lako
inabid nicheke tuYaani siku hizi wanawake ni wezi sijapata fikiria hivo. Ona hii sms imetumwa na mke wangu leo wakati natafakari naona hii thread. Nimemuuliza anasema eti ni yangu hivi hii ni kweli ''Haaa jaman ni mtandao 2 ww ukiona hakuna m2 utanistua,ila iwe jioni maana hofu ni hapo nje kuna wanaonijua ciunajua tena''
Heheheeee, kwani ungekuwa wewe ungesemaje? Hawezi hata siku moja kukuambia anachepuka, na usitegemee akakuambia hivyo hata siku moja. Wewe fahamu hajaanza leo na huenda havhepuki na mmoja, wapo wengi.Nimemrudiisha Text kwake kisha nikampgia nika muuliza then NIKACHEKA sanaaaaa!
Anadai alikuwa ana m-Text shosty wake...
Safi, ni sawa na kuishi huku ukijua ipo siku utakufaNdo maana mie cku zote nimekua naishi huku nkiamini naibiwa ili hata cku ikitokea nictafute presha za ajabu.japo nampenda