Kumbe naibiwa

Kumbe naibiwa

Nimefurahi sana kusikia kwamba ulicheka sana. Umeonyesha ukomavu wa hali ya juu sana. Hutaumwa presha wala kisukari. Tell her kwamba unampenda bado. Atakwambia mengi
 
Iv y haya mapenzi yamejaa usaliti ivi...watu hawaogopi mimba wala hiv...yaani!!!
 
sikubaliani na wewe..!! wanawake wa sahizi hata ashibe bado atapigwa tu nje..!!

Wanawake wa siku hizi wamerithi tabia za baba kabisa yaani michepuko kwa kwenda mbele yaani kila mahali ni vilio looh! Juzi niliwasikia hapa ofisini wakidanganyana mmeo akichepuka wewe unasubiri nini na bado mrembo vaa vizuri tunza umbo lako tafuta mwanaume kama ukimwi mtafute wote. Hii dunia imekosa mwelekeo kabisa.
 
Hahahhahahaha....sasa mkuu na ww unasubir nini kutafuta mnyonge ummege kisha umtumie txt kama hiyo kuwa na ww ulikosea ulitaka kumtumia mshkaji wako uone atavyolia nakulalamika had dunia nzima ijue kuwa umemuonea...
 
Duuh poleeh. Though huwezi kujua labda kweli ilikua ya shosti, usikimbilie kuhukumu.
Ila still Mimi bado I believe katika mapenzi...wapo watu ( wanawake) wachache ambao ni waaminifu kabisaaa..wala siwezi kua na mtazamo hasi juu ya hili. Take it or leave it...love will always conquer,no matter what!
 
Tuambie kwanza ni kweli mambo flan hakuwa sawa!?
Then ndo tuanze kukushauri...lol
 
Hii huwakuta wanaume wengi Sana wenye galz vicheche.Ushirikishe ubongo wako katika kuamua,ukiufuata moyo Mara nyingi ni maumivu.
 
Inawezakan Wewe Ndie Unammegea Mwanaume Mwenzio.
Tulizana kama nyuki Wa mashineni na usitie shaka ukatawaliwa na mashaka kumbuka njia kuu yako broo ni mchepuko Wa mwenzako.!!! tafiti ujuwe kama huna future NAE vema ukatemana NAE kuepuka maradhi...
 
So,ulitakaje?!kwani umemlipia mahari?!shut up,ZAmu ya wenzio.
 
Back
Top Bottom