Kumbe naibiwa

Kumbe naibiwa

Yaani siku hizi wanawake ni wezi sijapata fikiria hivo. Ona hii sms imetumwa na mke wangu leo wakati natafakari naona hii thread. Nimemuuliza anasema eti ni yangu hivi hii ni kweli ''Haaa jaman ni mtandao 2 ww ukiona hakuna m2 utanistua,ila iwe jioni maana hofu ni hapo nje kuna wanaonijua ciunajua tena''
 
Pole aiseee, ndo wanawake hao utafikiri wamemezeshwa mbegu za kiume maana hawawezi kutulia na mtu mmoja
Wanaume siku hizi wamesanda sana ni mmoja kwa bahati anayeweza kumkamua demu mpaka ajisikie kashiba; siunajua mtu akishashiba hata lije pilau gani kula hawezi tena
 
Pole man wangu soma hapo juu nAPASUKA JAMANI.Nimeumizwa namimi leo na niko hapa na demu anadai ana mshikaji wake na niko nae gest na simfungulii mpaka ningate
 
Pole sana mkuu.... Najua moyo wako upo kwenye sikitiko kubwa lakn tuliza akili fanya maamuzi sahihi.........

Wanawake wa aina hyo anatakiwa apate fundisho ambalo siku nyingne ashindwe wa kumlaumu. Tafuta mda sawasawa na nafas sawasawa mpe kibuti ambacho kitamtoa machoz kwa mda mrefu na ajute kukufahamu
 
Mbona ume generalize Hunyu

Hahaa mkuu, ktk 10, utakuta m1 au hakuna mwaminifu...tuko pabaya kuliko unavowaona watu barabarani ukiingia kwenye inbox zao unaweza zimia though mtu ukimwangalia kwa macho utajua huyu hata uume atakuwa anausoma kwenye vitabu tu.
 
Last edited by a moderator:
Tamaa, kukosekana upendo, haya ndo sababu kubwa
 
yaani hapo kilichokukosesha imani ni nini hasa? mbona inawezekana kabisa huyo mrembo wako anazungumzia dili nyingine na sio kumegwa?
 
Hahaa mkuu, ktk 10, utakuta m1 au hakuna mwaminifu...tuko pabaya kuliko unavowaona watu barabarani ukiingia kwenye inbox zao unaweza zimia though mtu ukimwangalia kwa macho utajua huyu hata uume atakuwa anausoma kwenye vitabu tu.

Haaaaaaaa hata uume anausoma kwenye vitabu kumbe ni expert lol
Ila this applies for both men and women
 
yaani hapo kilichokukosesha imani ni nini hasa? mbona inawezekana kabisa huyo mrembo wako anazungumzia dili nyingine na sio kumegwa?

mkuu hujakosea uko sahihi. Kwasababu hata kenge hawezi kuamin kama kuna hatar mpaka aone damu
 
mkuu hujakosea uko sahihi. Kwasababu hata kenge hawezi kuamin kama kuna hatar mpaka aone damu

hahaha kweli kabisa mkuu. hata fisi huona mkono unatingishwa anaamini utaanguka
 
Back
Top Bottom