Kumbe na mchepuko mke wa mtu anawivu

Kumbe na mchepuko mke wa mtu anawivu

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
1,509
Reaction score
2,981
habari wadau. Poleni na majukumu ya kilasiku.

Stori ipo hivi kuna dada fulani alijilengesha nikaomba mzigo akanikubalia tukaenda kupima tukakuta tupo fresh tukaanza kukutanisha vikojoleo.

Kumbe ni mke wa mtu mimi nilikuwa sijui.nilikuja kujua baadae .nikamuuliza kama kweli nimke wa mtu nikataka kutafuta njia ya kumpiga chini.

Sasa kabla sijampiga chini jana mida ya saa kumi na moja nipo uwanjani nacheki kamechi fulani .Akapita dada flani nikamsimamisha iliniombe namba muda namtajia akatokea yule mama mchepuko yule binti akasepa .bwana yule mama alinisalimia vizuri tu kumbe kachukia sana .


Akananza kushusha meseji balaa.
Kumbe na wake za watu wanawivu kwa michepuko yao.

Nashindwa kupandisha hizo meseji.ila nimempanga akaelewa na leo naichapa
 
habari wadau. Poleni na majukumu ya kilasiku.

Stori ipo hivi kuna dada fulani alijilengesha nikaomba mzigo akanikubalia tukaenda kupima tukakuta tupo fresh tukaanza kukutanisha vikojoleo.

Kumbe ni mke wa mtu mimi nilikuwa sijui.nilikuja kujua baadae .nikamuuliza skasrma kweli nimke wa mtu nikataka kutafuta mjia ya kumpiga chini.

Sasa kabla sijampoga chini jana mida ya saa kumi na moja nipo uwanjani nacheki kamechi fulani .Akapita dada flani nikamsimamisha iliniombe namba muda namtajia akatokea yule mama mchepuko yule binti akasepa .bwana yule mama alinisalimia vizuri tu kumbe kachukia sana .


Akananza kushusha meseji balaa.
Kumbe na wake za watu wanawivu kwa michepuko yao.

Nashindwa kupandisha hizo meseji.ila nimempanga akaelewa na leo naichapa
Bar Maid huyo.....hakuna anayetaka kuonekana hana thamani. Ili akuthibiti usiwe unamsumbua sumbua anakwambia ni Mke wa Mtu.

Dogo umeingia mjini lini?
 
habari wadau. Poleni na majukumu ya kilasiku.

Stori ipo hivi kuna dada fulani alijilengesha nikaomba mzigo akanikubalia tukaenda kupima tukakuta tupo fresh tukaanza kukutanisha vikojoleo.

Kumbe ni mke wa mtu mimi nilikuwa sijui.nilikuja kujua baadae .nikamuuliza kama kweli nimke wa mtu nikataka kutafuta njia ya kumpiga chini.

Sasa kabla sijampiga chini jana mida ya saa kumi na moja nipo uwanjani nacheki kamechi fulani .Akapita dada flani nikamsimamisha iliniombe namba muda namtajia akatokea yule mama mchepuko yule binti akasepa .bwana yule mama alinisalimia vizuri tu kumbe kachukia sana .


Akananza kushusha meseji balaa.
Kumbe na wake za watu wanawivu kwa michepuko yao.

Nashindwa kupandisha hizo meseji.ila nimempanga akaelewa na leo naichapa
Huyo ana lipa kisasi kwa ndoa yake.....amefumania mume wake anachapa nje sana...yeye kaamua alipize utapendwa mpaka upagawe ila jamaa akijua sasa ndio unalo....jiandae pia akiachwa umchukue wewe....akifukuzwa home kwa mumewe ...
 
habari wadau. Poleni na majukumu ya kilasiku.

Stori ipo hivi kuna dada fulani alijilengesha nikaomba mzigo akanikubalia tukaenda kupima tukakuta tupo fresh tukaanza kukutanisha vikojoleo.

Kumbe ni mke wa mtu mimi nilikuwa sijui.nilikuja kujua baadae .nikamuuliza kama kweli nimke wa mtu nikataka kutafuta njia ya kumpiga chini.

Sasa kabla sijampiga chini jana mida ya saa kumi na moja nipo uwanjani nacheki kamechi fulani .Akapita dada flani nikamsimamisha iliniombe namba muda namtajia akatokea yule mama mchepuko yule binti akasepa .bwana yule mama alinisalimia vizuri tu kumbe kachukia sana .


Akananza kushusha meseji balaa.
Kumbe na wake za watu wanawivu kwa michepuko yao.

Nashindwa kupandisha hizo meseji.ila nimempanga akaelewa na leo naichapa
downloadfile.jpg
 
Huyo ana lipa kisasi kwa ndoa yake.....amefumania mume wake anachapa nje sana...yeye kaamua alipize utapendwa mpaka upagawe ila jamaa akijua sasa ndio unalo....jiandae pia akiachwa umchukue wewe....akifukuzwa home kwa mumewe ...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bar Maid huyo.....hakuna anayetaka kuonekana hana thamani. Ili akuthibiti usiwe unamsumbua sumbua anakwambia ni Mke wa Mtu.

Dogo umeingia mjini lini?
Kwani cha ajabu hapo ni nini?!!kuwa mke wa mtu hawezi kumuonea wivu mchepuko wake?!!!mbona hayo yapo sana wewe ndio mgeni mjini mkuu
 
Back
Top Bottom