falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Leo kwenye taarifa ya habari ya ITV wameonyesha maelfu na msafara mrefu wa magari ya wakazi wajiji hilo wakienda kumsindikiza mwili wa mwendazake Alphonce Mawazo kwenda hospitali ya Bugando kwa ajili ya postmortum. Kwa maelfu ya watu tuliowaona ni dhahiri kabisa UKAWA bado ina nguvu sana katika ukanda huo wa ziwa ila CCM wanatumia nguvu kubwa sana kusambaza propaganda kuwa UKAWA imekufa.
Ama kwa hakika leo tumepata majibu kwa macho yetu kwamba UKAWA ina nguvu kanda ya ziwa
Apumzike kwa amani mwendazake alphonce mawazo
Ama kwa hakika leo tumepata majibu kwa macho yetu kwamba UKAWA ina nguvu kanda ya ziwa
Apumzike kwa amani mwendazake alphonce mawazo