Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,295
Hahahahahaaa, JIHOGO LA JANG'OMBE la Saleh kidogo limtoe roho mama chibu.
Mama kaugua kapelekwa hadi India ugonjwa hauonekani kumbe mama ana pressure ya kulikosa JIHOGO!...Lol
Upuzi mnakosa lakufanya
Na hizo kiki za kulambisha watu ndimu zimemtokea puani. Aumie tu kwa kweli kila shauzi lina positive and negative impacts.
Subiri nimesema hadi nichafukwe.Halafu sasa hivi naelekea mwezi wa toba sitaki kuchuma madhambi mengine, nikirudi nitaweka nikiamua.
Eti watumiaji wa mitandao haya waliwasaidia siku wanavuana nguo kwa mara ya kwanza atiiiii?
Mkuu kama tunaongelea mimba.....hasa jinsi ilivyoingia.....sio public
Ila kama wewe ulikua pale kwenye mashavu ya nanihii ya Zari wakati Dimond anatupia vitu hapo sawa u can comment
Lakini bila hivyo...acheni u pros kama wa wema[/QUOTE
heeee we nae kwani hujui kusoma Kiswahili.....ushaambiwa sio ya ndomo....sasa ningekuweko vp wkt ashadungwa kwingineko...hata data za mtoto kakaaje tumboni pia tutadiscuss kama data zipo...we name wema kakukaa kinywani..Cmjui unamzimia half unaleta sizitaki Mbichi hizi...ya wema hayanihusu discuss kilichoko mezani
Kuna siku walienda zanzibar, wakapanda boti, akamwambia 'Nassib funua iyo vesti', akavuta penso ya Nassib kama anachungulia kidole mle ndani afu akasema , 'Kifesi please take a photo!'.
Kwendraaaaa! Wewe unavyomtukana wema hapo una dada kweli? Hata kama hauna huyo ni mwanamke pia.
Ungeonesha mfano kwanza ndio utuseme sie, mnafki mkubwa.
HALO HALOOOOOOO! HALO YA MAMA CHIBU NA DOGODOGO WAKE ALIYEOA!!
Tena usinichefue ipo siku nikichafukwa nitaweka picha zake chafu huku na huyo serengeti wake, ohooooo!
Mkuu kama tunaongelea mimba.....hasa jinsi ilivyoingia.....sio public
Ila kama wewe ulikua pale kwenye mashavu ya nanihii ya Zari wakati Dimond anatupia vitu hapo sawa u can comment
Lakini bila hivyo...acheni u pros kama wa wema[/QUOTE
heeee we nae kwani hujui kusoma Kiswahili.....ushaambiwa sio ya ndomo....sasa ningekuweko vp wkt ashadungwa kwingineko...hata data za mtoto kakaaje tumboni pia tutadiscuss kama data zipo...we name wema kakukaa kinywani..Cmjui unamzimia half unaleta sizitaki Mbichi hizi...ya wema hayanihusu discuss kilichoko mezani
aliekwambia ni nani? alikwepo kwenye mashavu ya k wakati huyo mwingizaji anaweka?
Hahaaaaa keep on guessing umejuaje sie mashabiki wa Wema we we ndo una akili eeeeh. Kwanza hii topic haimuhusu Wema kila mahali una mtaja unaonyesha ni jinsi gani anakuumiza eeeh. We we mwenye akili ya tofauti mbona umemtaja Wema Yale Yale nothing new😱😱😱
ziweke Bana sie tufaidiiii alaaaa
Na watuache bwana, sasa hivi habari ya mujini ni mama chibu na serengeti wake sio mtoto na jimama lake.
Hatariiii hiyo, mama na mtoto wanapishana kwa kick mjini hapa.
Sasa Katunzi mnataka ndoa yake ivunjike ili iweje, udaku huu ingekua amelala nae au kutoka nae basi mimba hiyo ingekuwa na mawiki zaidi ya hamsini sababu zile picha walipiga na dada ake Zari na shemeji na niece na Sintah siku hiyo.
Hamna kingine maneno tu kumchafua picha za wao mahaba teletele ndani ya SA zinawamaliza watu.
Mwacheni Katunzi na ndoa yake, au mnataka W amfate maana kila atajwaye kupitia Zari na w huyooooo
Mwacheni Zari na heshima zake
Mkuu Kimbley kuna chokoraa huyu hapa.
Wema hatumtukani ndiyo sifa yake kuu
Hivi wewe hata huoni haya ....kumsuport mburula kama wema?
Mi ningekuwa na dada kama wema ningemtoa msaada tu akatumike kwa watoto yatima kwa kumchezea
Sio lazima uweke wewe bwana.
Wengine sie wabudha hatuna mwezi mtukufu, yote mitukufu naomba mie basiii
hahahahahah...kweli nimemini maneno ya wadau...mashabiki wote wa wema akili zao kama za wema
Hahaaaaa keep on guessing umejuaje sie mashabiki wa Wema we we ndo una akili eeeeh. Kwanza hii topic haimuhusu Wema kila mahali una mtaja unaonyesha ni jinsi gani anakuumiza eeeh. We we mwenye akili ya tofauti mbona umemtaja Wema Yale Yale nothing new😱😱😱
Wema ana akili gani?
Shoga ebu fanya kuniungaa....mtoto kwakweli hajafanana na dancer sijui ile sura ni ya nani.
Sema ujue nini ukimbeba kidogo tuu unaambiwa haya mweke kwenye kitanda chake kweli mama cookie ni shida hataki mtoto akaguliwe.
Na sijui kama atapostiwa sura yake ivi karibuni looh wanakangoja kakue kue sura ieleweke