Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Sasa hiyo ni personal conflict....sio kua namkubali mange ila neno tu neno bibie we mengine ya mange yaache chek quote over hebu tuchek story zingine bana wakati tunamngoja East African royal princess au sio? LolMange angekua ni mtu wa maana ningezikubali nukuu zake kama za maan.Toka alipolalwa na Kim tapeli, yeye mama Mwele na dada yake hafai kuwa mfano wa kuigwa..
Nukuu zake hazina mashiko.
Best domo anapambana bila hata hizo kiki mungu akipanga riziki zinakuja tu.....ukweli domo mungu kambariki na nyota ndio imewaka asijisahau 2 awekeze mana familia yote inamtegemea yeye
Ha ha ha nihame kisa? We mbona huwa huami party za boss wako zikibuma afu uliniahidi picha za insta party ziko api, boss wako alidanganya kaolewa mbona haukuhama?ha ha ha
Kuna umalaya certificate na umalaya PHD ha ha ha
Awewezeshe kiuchumi wajitegemee ka huyo Esma ana followers wengi tu wa kutosha. Akianzisha hata biashara atapata wateja kuliko kumtegemea mtu mmoja.
hahaaaaaa ndo mana mnafeli mashuleni ndo umeongea nini sasa...!!
mi nimesema daimond mimba si yakeeee...
hebu kanye kuleee...!!
elewa somo mbwiga weweee.....
mimi mama angu yupo kaburini halafu sasa nipo copy right na baba kudadaeki
lilikua bonge la bao mzee alitungua nikatoka mkyuti mimi...
una swaliiiii......?!!!!!!!!!
Wewe ni sheeedaaaa hahahaaaaaaaaa
hahahaaaaaaa........
umepanikiiiiii....
nasema hivi zari malayaaaaaaaaa......tena fuskaaaa,kahaba mzoefuuuuuuu......
asiejithamini ndio maana kapigwa mimba ht kondomu za miaaaa.....?!!
woyooooooooo....
na mam angu huko aliko anajua alichokifanya
muambie zari aache umalayaaaaaaaaaaaaaaaaa.........
Kuna umalaya certificate na umalaya PHD ha ha ha
Uwiiii macho yangu yanapofukaaaaaaaa
na ushuzi wenyewe kashakimbia sijui kaenda wapi!!
kila la heri alete tuzo...Haya haya haya!!tayari kimenuka huko!!Baba kijacho/Icon ya mziki tz/WCB Presdent/Nana hitmaker/na mengine meengiiii!
Habari njema kwa huyu PLATNUM ni kwamba amechaguliwa kugombea kipengele cha BEST AFRICAN ARTIST huko nchini Naijeria katika tuzo za NIGERIAN ENTERTAINMENT AWARDS(NEA).
Wakati huohuo anafanya yake sasa hivi Huko Africa kusini
Wewe ni singiiiiidaaa nimecheka leo duuu unachamba adi kachubuka mnduku looohhh.
Hatarudia tena kunya hadharani
yaambie yasubiri kuona mtoto wa taifa.. wa malaya la kigandaaaa
mpuuzi yule na feki id zao mi bwana nyeupe,nyeupe..bluu,bluu...!!
kila la heri alete tuzo...
inshaallah!!zetu dua
halow ya wifi wa taifa kuzaa mtoto wa taifa..Ila kweli zari kazingua daah kwani yy ni mama huruma adi amzalie domo? Looooh na watoto wake wakubwa tuu na wanatosha si angetulia tuu.
Eti mtoto wa taifa boooooongoo? Heheheeeeee hallow ya wifi wa taifa.