jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Subject ni kuwa umefanya kosa.MKUU HEB UNGANISHA HAYA MATUKIO EPA+IMMMA KUMTETEA LISU MAHAKAMANI+LISU ANATUCHOMA KUHUSU NDEGE YETU KWA WAZUNGU+LISU KUSEMA TUTANYOLEWA BILA MAJI NA ACACIA+IMMMA WANAITETEA ACACIA MAHAKAMIANI DHIDI YA JMT
Kunyolewa kavukavu, kuwatonya wazungu n.k havipunguzi weight ya kosa lako. Sana sana utajifariji kipumbavu.
Ungekuwa mwerevu ungeenda mbali kimtazamo kuwa hii inaweza kuwa imetuepushia aibu huko mbeleni maana kama ingekamatwa ndege ya Rais tungeficha wapi sura zetu!