kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
- Thread starter
- #21
Mh! Sipo tayari kuzaa na mtu ambaye hajanioaFanya humzalie
Mh! Sipo tayari kuzaa na mtu ambaye hajanioaFanya humzalie
Inasikitisha 🥲Kwa sababu wanaliwa
Hayupo tayari kuoa na nahisi atakuwa na mtu wakeFanye akuoe. Tupo tayar kwa michango
Akiwa tayari utampa nafasi ?Hayupo tayari kuoa na nahisi atakuwa na mtu wake
UPo tayari akuoe ?Mh! Sipo tayari kuzaa na mtu ambaye hajanioa
Sasa kama umri umekwenda si umekwenda tu 😂Kati ya Utani ambao wabongo wengi hawataki, Ni kuonekana umri umeenda na amechelewa katika jambo flani
Ana hasira pia huwa namkataaHuyo ana hasira na ccm kakosa pa kuzitolea tu
Hayupo tayari, usimsemeeAkiwa tayari utampa nafasi ?
Kweli nilikosea ngoja nimtafute tena nimuombe msamahaUmeingilia privacy na freedom ya maisha yake.
Kiafrika ni kawaida ila kizungu ni tofauti kidogo.
...kwa nini hujaoa na umri umeenda?
...mbona mpaka sasa hivi hujaolewa?
...kwa nini hujazaa si utazeekea kwenu?
Huku ni kuingilia uhuru wa mtu!!
Ukweli unaumaSasa kama umri umekwenda si umekwenda tu 😂
Hayupo tayari naona hata ningemkubali anaonekana angenichezea tuUPo tayari akuoe ?
Unamzoea jamaa vibaya sana ndio maana akakuwakiaNimemuwish siku yake ya kuzaliwa nikamtania kama hivyo amekasirika hata sms hajibu tena
Fanya umzalie mkuu ili watoto wawahi shuleSina mpango naye ananitaka ila mimi sipo tayari namuhesabia kama rafiki tu
Sipo tayari kuzaa kabla sijaolewaFanya umzalie mkuu ili watoto wawahi shule
Hamna amekasirika kweli
Kivipi sasaUnamzoea jamaa vibaya sana ndio maana akakuwakia
Kakufanyia reverse psychology... kaujua udhaifu wako...Hamna amekasirika kweli