Uchaguzi 2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

CCM kuiba kura ili kufuta upinzani bungeni, wakati inahitaji wapinzani bungeni ili kupata uhalali wa bunge kimataifa ni ujanja mwingi, mbele kiza.
Vyama tisa (9) vingine vya upinzani vipo vitapeleka wabunge wao Bungeni. Na kama viti maaluum vinatokana na idadi ya kura, basi watatokana na chama kinachofuatia idadi ya kura baada ya Chadema. Hata hivyo kumbuka kuwa kama hypothesis yangu inaweza kuwa sahihi, basi hata hao walio na hizo Trillion 2 watakuwa na details za kutosha, na hivyo watakuwa hawana hata chembe ya mpango wa kuzizuia. Dunia ni moja, na bedrock pia ni moja. Ukitikisa Marekani unakuwa umetikisa dunia nzima na kama ni uadui basi wewe uliyetikisa unakuwa umekuwa adui wa dunia nzima.

Halafu kwa taarifa zaidi tu ni kwamba, kura huwa haiibiwi kwa margini kubwa namna hiyo. Ukiona watu wamekusanyika kwenye mkutanoi wa mgombea, inakadiriwa kuwa 20-30% ya hao ndiyo watakaompatia kura. Kwa hiyo wapiga kura wengi walikuwa majumbani. Still, hata kwa wale waliokuwa wanahudhuria mikutanoi ya hadhara, at lest 75% walikuwa upande ulioshinda, kama uliweza kuzifuatilia kampeni hizi
 
Hiyo trilioni mbili ni ndogo sana, wangetupokonya kabisa na The Special Drawing Rights ndio tuunde katiba mpya, hiyo peke yake haitoshi.
 
Ni
Who cares. Kama ni kweli hilo la hizi hela, tuko tayari kujaza petition ili zisije tudhalilike vizuri.


Ni kweli CCM wamejipa kila kitu.
Mali za umma wamekomba zote. Vitalu huko mali asili ni vya hao hao makada, tenda za ujenzi wa mabarabara wanapeana wao. Ajira zenye maslahi makubwa na Teuzi zote zinazolipwa mamiliona ya kodi wanapeana wao.
Wanatumia mabiloni ya pesa kurudi madarakani kwa kuhonga wasimamizi wa uchaguzi na kujaza kura feki , halafu wanategemea wapinzani wakubali pesa zitoke kwa wahisani ili nazo wagawane tena na kuzidi kujilimbikizia mali.
Hivi kweli Mwinyi hakujenga nyumba ya kuishi au hana uwezo wa kujenga nyumba ya kuishi? Yote ni sheria walizojiwekea CCM ili wasikome kukwapua mali za umma na kujilimbikizia mali.

CCM chama cha kijamaa kinachoongozwa ma mabepari wabaya kuliko mababeru wa ulaya.

Hakuna haja ya kupewa misaada kama uongozi unakuwa ni wa kubaguana na kulazimishana badala ya wananchi kuwa na uhuru wa kuchagua bila kutishwa.

Bunge libaki kuwa la CCM na halmashauri zote waongoze ili baada ya miaka mitano wawaonyeshe vijana wetu viwanda vya kuajiriwa, na ajira zao zilipo! Lakini pia waone kuwa je, watawala nao wana maisha magumu au wamewatwisha watu mizigo mizito ambayo wao hawaigusi hata kwa vidole vyao?!!
 
Ndugu yangu uko Tanzania ya wapi wewe bado unawaza misaada. Jiwe ameshaondoka huko. Tayari tuna viwanda viwili vya kuchengua dhahabu, mpaka sasa tunauza dhahabu safi siyo ghafi tena.Tuna dividend kila mwaka toka bariick, tumepata certificate ya bati yetu. Kifupi ni kwamba TANZANIA kwa sasa ni mafuta.
Unaimba tu
 
Kwani waliowaua huko Pemba siyo binadamu? Wacha tumtoe tu kwa maana wanataka kupandikizwa kwa ngozi ya upinzani wakati ni ma-CCM!
Maamuzi ni yenu, mkiamua kuua uaneni tu.
Msiisingizie CCM.
Kumbuka hata vyama vya wapinzani (Chadema, CUF au ACT wazalendo)vikiingia madarakani, wakati wa utawala wao wasiofuata utaratibu wa nchi watapigwa tu na haohao police. Kwa mtazamo wangu jeshi halina chama.
 
Vyama tisa (9) vingine vya upinzani vipo vitapeleka wabunge wao Bungeni. Na kama viti maaluum vinatokana na idadi ya kura, basi watatokana na chama kinachofuatia idadi ya kura baada ya Chadema. Hata hivyo kumbuka kuwa kama hypothesis yangu inaweza kuwa sahihi, basi hata hao walio na hizo Trillion 2 watakuwa na details za kutosha, na hivyo watakuwa hawana hata chembe ya mpango wa kuzizuia. Dunia ni moja, na bedrock pia ni moja. Ukitikisa Marekani unakuwa umetikisa dunia nzima na kama ni uadui basi wewe uliyetikisa unakuwa umekuwa adui wa dunia nzima.

Halafu kwa taarifa zaidi tu ni kwamba, kura huwa haiibiwi kwa margini kubwa namna hiyo. Ukiona watu wamekusanyika kwenye mkutanoi wa mgombea, inakadiriwa kuwa 20-30% ya hao ndiyo watakaompatia kura. Kwa hiyo wapiga kura wengi walikuwa majumbani. Still, hata kwa wale waliokuwa wanahudhuria mikutanoi ya hadhara, at lest 75% walikuwa upande ulioshinda, kama uliweza kuzifuatilia kampeni hizi
Unaandika haya kwa nadharia tu au unajua asilimia zilizochukuliwa na vyama katika uchaguzi wa 2020?

Chama kilichopata kura nyingi baada ya CHADEMA ni chama gani? Na kina asilimia ngapi ya kura? Na asilimia zinazotakiwa ni ngapi?

Na kama CCM hawaihitaji CHADEMA, kwa nini wanailazimisha kuingia bungeni?
 
Kwa hiyo hamuandamani tena? Mnatia aibu kwa kuliombea taifa mabaya.
Jee ulikemea kuhusu mauaji na mambo mengine mabaya waliyofanyiwa wanna chi kwasababu ya ujinga wenu?

Na yawafike hayo mabaya ya kila aina juu yaviongozi na wala siumiii nitazidi kufurahi.
 
Ndugu yangu uko Tanzania ya wapi wewe bado unawaza misaada. Jiwe ameshaondoka huko. Tayari tuna viwanda viwili vya kuchengua dhahabu, mpaka sasa tunauza dhahabu safi siyo ghafi tena.Tuna dividend kila mwaka toka bariick, tumepata certificate ya bati yetu. Kifupi ni kwamba TANZANIA kwa sasa ni mafuta.
Wewe ndo ujiulize uko wapi wakati Deni la Taifa Linaongezeka wakati hawakopi? #Nakimbia
 
Unaandika haya kwa nadharia tu au unajua asilimia zilizochukuliwa na vyama katika uchaguzi wa 2020?

Chama kilichopata kura nyingi baada ya CHADEMA ni chama gani? Na kina asilimia ngapi ya kura? Na asilimia zinazotakiwa ni ngapi?

Na kama CCM hawaihitaji CHADEMA, kwa nini wanailazimisha kuingia bungeni?
Mh. Ndugai katangaza Bungeni jana kuwa kanuni za Bunge haziruhusu tena safari hii, uwepo wa Kambi Rasmi ya Upinzani, isipokuwa zinaruhusu uwepo wa Kambi ya Upinzani. Hii inatokana na margin ya kura zilizopatikana kutoka upinzani.
Details hizo zingine nilizozisema hapo, zinatokana na authoritative information nilizozipata kutoka kwa professional, Mh. Dr. Slaa (20-30%), na hizo zingine ni estimations zangu mimi tu kama mtu mwenye akili timamu, kutokana na namna ambavyo nilikuwa ninaiona idadi ya watu kwa kila mgombea, wakati wa Kampeni. Kwamba ukichukulia kuwa 20-30 ya waliokuwa wakihudhuria mikutano hiyo, 75% ya hao niliona kuwa walikuwa upande ulioshinda. Ni estimations zangu tu za ki-layman ila kwa kutumia hints za watu ambao ni professional
 
Anaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa Twitter:

Kanuni za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti Maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi.

Mtakosa 2 Trillion za Donor Countries kwa nchi kukosa utawala Bora

Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Hapakuwa na Uchaguzi hata kidogo !!! October 28 zilikuwa ni Kura za maoni ndani ya ccm kuwapata wabunge !
 
Back
Top Bottom